Je, unawezaje kumfahamu mwendesha bodaboda mhalifu? Soma tips kumfahamu

Je, unawezaje kumfahamu mwendesha bodaboda mhalifu? Soma tips kumfahamu

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,794
Reaction score
9,075
Wadau najua wengi tunatumia sana Bodaboda,swali je unafahamuje kuwa boda boda niliyemchukua ni mharifu?

Basi ungana na mimi kujua ni jinsi gani walivyo na endapo ukiona yupo hivi jua huyo ni muharifu usipande bodaboda wake.
  • Kwanza chombo chake lazima kiwe kikukuu!
  • Bodaboda yake lazima iwe ni Boxer 150 cc japo hata 120cc
  • Bodaboda yake katiak Plate no yake inaweza kuwa imekatwa kipande kwa maana inaonekana imekatika.
  • Bodaboda yake Plate No Imekunywa imesimama kama mabawa ya ndege kwa maana huwezi kusoma reg no ukiona hivyo huyo ni muharifu kuwa makini
  • Kama usiku Ukiona amefunga taa za flashlight za kuumiza macho katika plate No jua huyo ni muharifu usipande.
  • Ukiona boda boda pikipiki imefungwa vitambaa vyenye maua ya bange huyo ni muharifu usipande,
  • Ukiona Bodaboda amevaa kandambili na ni mchafu na anavirasta vichafu huyo ni muharifu
  • Ukiona bodaboda kavaa kijaket hakielezi kituo chake basi huyo ni muharifu usipande.
Kwa hayo machache hizo tips nimekupa kuwa makini!
 
Kwa hiyo Boxer iliyochoka ndo inatatizo au dereva ndo tatizo.
Hichi kijamaa kina chuki zake binafsi.

Fanya utafiti wako vizuri urudi hapa kama hujui uliza wenyeji
 
Wadau najua wengi tunatumia sana Bodaboda,swali je unafahamuje kuwa boda boda niliyemchukua ni mharifu??
Basi ungana na mimi kujua ni jinsi gani walivyo na endapo ukiona yupo hivi jua huyo ni muharifu usipande bodaboda wake.
  • Kwanza chombo chake lazima kiwe kikukuu!
  • Bodaboda yake lazima iwe ni Boxer 150 cc japo hata 120cc
  • Bodaboda yake katiak Plate no yake inaweza kuwa imekatwa kipande kwa maana inaonekana imekatika.
  • Bodaboda yake Plate No Imekunywa imesimama kama mabawa ya ndege kwa maana huwezi kusoma reg no ukiona hivyo huyo ni muharifu kuwa makini
  • Kama usiku Ukiona amefunga taa za flashlight za kuumiza macho katika plate No jua huyo ni muharifu usipande.
  • Ukiona boda boda pikipiki imefungwa vitambaa vyenye maua ya bange huyo ni muharifu usipande,
  • Ukiona Bodaboda amevaa kandambili na ni mchafu na anavirasta vichafu huyo ni muharifu
  • Ukiona bodaboda kavaa kijaket hakielezi kituo chake basi huyo ni muharifu usipande.
Kwa hayo machache hizo tips nimekupa kuwa makini!
Unaweza kuwa mkweli kwa kiasi fulani, lakini kwa upande mwingine hata Mamluki wa udhalimu wa wale jamaa wavaa kaunda suti wengi wao Wana baadhi ya sifa hizo ulizotaja.
Mawakala wao wenye pikipiki zenye sifa hizo ulizotaja hasa hasa ni Watu wa Surveillances au Field Officers ndio ambao pikipiki zao zina sifa hizo.
 
Wadau najua wengi tunatumia sana Bodaboda,swali je unafahamuje kuwa boda boda niliyemchukua ni mharifu?

Basi ungana na mimi kujua ni jinsi gani walivyo na endapo ukiona yupo hivi jua huyo ni muharifu usipande bodaboda wake.
  • Kwanza chombo chake lazima kiwe kikukuu!
  • Bodaboda yake lazima iwe ni Boxer 150 cc japo hata 120cc
  • Bodaboda yake katiak Plate no yake inaweza kuwa imekatwa kipande kwa maana inaonekana imekatika.
  • Bodaboda yake Plate No Imekunywa imesimama kama mabawa ya ndege kwa maana huwezi kusoma reg no ukiona hivyo huyo ni muharifu kuwa makini
  • Kama usiku Ukiona amefunga taa za flashlight za kuumiza macho katika plate No jua huyo ni muharifu usipande.
  • Ukiona boda boda pikipiki imefungwa vitambaa vyenye maua ya bange huyo ni muharifu usipande,
  • Ukiona Bodaboda amevaa kandambili na ni mchafu na anavirasta vichafu huyo ni muharifu
  • Ukiona bodaboda kavaa kijaket hakielezi kituo chake basi huyo ni muharifu usipande.
Kwa hayo machache hizo tips nimekupa kuwa makini!
Ukweli mtupu
 
Ukikuta pikipiki yake haina dashboard alafu switch haipo inapokaa ujue ni mhalifu.

Ukikuta kafungua ile keria ya nyuma kaacha seat pekeake huyo ni mhalifu.

Ukikuta pikipiki yake inatoa mlio mkali alafu inalia kama baruti, basi ujue huyo ni mhalifu.

Ukikuta mwendesha pikipiki anaendesha huku amevaa kinyago au yale miwani fulani hivi isiyoonesha macho ujue ni mhalifu
 
Utapingwa ila mengi uliyosema ni sahihi hasa kipengele Cha plate number na jacket ya kuonesha kituo
 
Wadau najua wengi tunatumia sana Bodaboda,swali je unafahamuje kuwa boda boda niliyemchukua ni mharifu?

Basi ungana na mimi kujua ni jinsi gani walivyo na endapo ukiona yupo hivi jua huyo ni muharifu usipande bodaboda wake.
  • Kwanza chombo chake lazima kiwe kikukuu!
  • Bodaboda yake lazima iwe ni Boxer 150 cc japo hata 120cc
  • Bodaboda yake katiak Plate no yake inaweza kuwa imekatwa kipande kwa maana inaonekana imekatika.
  • Bodaboda yake Plate No Imekunywa imesimama kama mabawa ya ndege kwa maana huwezi kusoma reg no ukiona hivyo huyo ni muharifu kuwa makini
  • Kama usiku Ukiona amefunga taa za flashlight za kuumiza macho katika plate No jua huyo ni muharifu usipande.
  • Ukiona boda boda pikipiki imefungwa vitambaa vyenye maua ya bange huyo ni muharifu usipande,
  • Ukiona Bodaboda amevaa kandambili na ni mchafu na anavirasta vichafu huyo ni muharifu
  • Ukiona bodaboda kavaa kijaket hakielezi kituo chake basi huyo ni muharifu usipande.
Kwa hayo machache hizo tips nimekupa kuwa makini!
Huu utafiti wako utakuwa umeufanyia Ar maana % kubwa iko hivyo.
 
Ukimkuta kashika kisungura ,roboti,shimwaa huyo ni Muhalifu kaa nae mbali sana.
 
Back
Top Bottom