Je, unayafahamu mabati ya WAJA?

Je, unayafahamu mabati ya WAJA?

kipumbwi

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2015
Posts
3,162
Reaction score
9,073
Habari wadau?!!

Niko kwenye hatua ya kupaua kakibanda kangu,changamoto niliyopata mara ya mwisho (2016) no kuuziwa mabati ya mgongo mpana a.k.a msauzi yaliyokuja kupauka ndaniya miezi6 tu kutoka kwa supplier mkubwa tu wa kihindi.

Sasa ninakaribia kupaua tena kibanda kingine,napenda kuweka bati ya jamii ya kigae-versatile sasa naomba mnisaidie wale wazoefu na kampuni ya mabatiya waja kwani naonabei yao sio mbaya ambapo no shs 48,000 kwa bati moja huku ALAF bati zao wakiziuzakwa shs 52,500/= kwa bati moja,hali inayonifanya kutafuta kampuni mbadala.

Naomba kujuzwa, je hayapauki upesi? Ni imara?

Uzoefu wenu tafadhali wadau
 
Habari wadau?!!

Niko kwenye hatua ya kupaua kakibanda kangu,changamoto niliyopata mara ya mwisho (2016) no kuuziwa mabati ya mgongo mpana a.k.a msauzi yaliyokuja kupauka ndaniya miezi6 tu kutoka kwa supplier mkubwa tu wa kihindi.

Sasa ninakaribia kupaua tena kibanda kingine,napenda kuweka bati ya jamii ya kigae-versatile sasa naomba mnisaidie wale wazoefu na kampuni ya mabatiya waja kwani naonabei yao sio mbaya ambapo no shs 48,000 kwa bati moja huku ALAF bati zao wakiziuzakwa shs 52,500/= kwa bati moja,hali inayonifanya kutafuta kampuni mbadala.

Naomba kujuzwa, je hayapauki upesi? Ni imara?

Uzoefu wenu tafadhali wadau
Huo mbadala wa ALAF unaoutafuta ndio utakuja kulia nao.. Ongeza pesa mkuu chukua mzigo wa ALAF utakuja kushukuru baadae
 
Kama uja pata mabati nikupe namba ya mfanyakazi wa waja akupe details za mabati yao
 
Nakushauri ukishindwa kuchukua alafu. Nunua dragon Ni mabati mazuri Sana hayapauki yako imara ...nenda kiwandani kwao kabisa na vipimo vyako.

Ukitoa alafu. Inakuja dragon kwa ubora
 
Habari wadau?!!

Niko kwenye hatua ya kupaua kakibanda kangu,changamoto niliyopata mara ya mwisho (2016) no kuuziwa mabati ya mgongo mpana a.k.a msauzi yaliyokuja kupauka ndaniya miezi6 tu kutoka kwa supplier mkubwa tu wa kihindi.

Sasa ninakaribia kupaua tena kibanda kingine,napenda kuweka bati ya jamii ya kigae-versatile sasa naomba mnisaidie wale wazoefu na kampuni ya mabatiya waja kwani naonabei yao sio mbaya ambapo no shs 48,000 kwa bati moja huku ALAF bati zao wakiziuzakwa shs 52,500/= kwa bati moja,hali inayonifanya kutafuta kampuni mbadala.

Naomba kujuzwa, je hayapauki upesi? Ni imara?

Uzoefu wenu tafadhali wadau
Kwa ushauri wangu jipinde uchukue ALAF tu hutojutia.
 
Back
Top Bottom