Digging deeper
JF-Expert Member
- Jul 15, 2020
- 787
- 512
ndio mkuuHakuna kufunga timu ya mwenye mpira mabao😎
Bora message yake imefikaTeknolojia imeharibu vijana sana,
Kwa uandishi wa kutumia keyboard unahangaika kiasi hiki, je ukipewa white paper isiyo na mstari hata mmoja na kalamu ujieleze kwa maandishi si bora bata aliyetoka kwenye dimbwi la tope akanyage shuka jeupe lililoanikwa kwenye nyasi fupi kuliko huo uandishi wako?
Timu ya mwenye mpira inaweza kufungwa hata saba bia ila atasema hii mechi ni suluhu inabidi tupige penati kutafuta mshindi.Hakuna kufunga timu ya mwenye mpira mabao😎
ukimfunga anabeba mpira 😁ndio mkuu
Nimerekebisha hapo juuTeknolojia imeharibu vijana sana,
Kwa uandishi wa kutumia keyboard unahangaika kiasi hiki, je ukipewa white paper isiyo na mstari hata mmoja na kalamu ujieleze kwa maandishi si bora bata aliyetoka kwenye dimbwi la tope akanyage shuka jeupe lililoanikwa kwenye nyasi fupi kuliko huo uandishi wako?
tayari mkuuHariri maandishi yako ili nikuekewe.
hahahah, nanilazima afunge goliukimfunga anabeba mpira 😁
na kesho yake mnarudia mechi mpaka mshindi apatikaneMnaweza kucheza masaa hata 4 bila kupata mshindi
😁😁Teknolojia imeharibu vijana sana,
Kwa uandishi wa kutumia keyboard unahangaika kiasi hiki, je ukipewa white paper isiyo na mstari hata mmoja na kalamu ujieleze kwa maandishi si bora bata aliyetoka kwenye dimbwi la tope akanyage shuka jeupe lililoanikwa kwenye nyasi fupi kuliko huo uandishi wako?
noma sana🤩🤩Akipita mtu uwanjani mnasimamisha mechi kwanza
mpira unaisha jua likizama,Kama kinavyojieleza kwenye kichwa.
utoto Ni sehemu ambayo mtoto hujifunza vitu mbalimbali,kipindi hichi watoto ucheza kwa pamoja mfano kwenye mpira uwa na sheria zake.
1...Hurusiwi kuvaa viatu,mwenye
mpira pekee ndonarusiwa kuvaa viatu.
2..ikitokea penati mtu yoyote anarusiwa kudaka penati.
3...Hakuna ufusaidi mtu akizidi
4..Hurusiwi kupinga ndochi.
5..hakiitwa mwenye mpira,mpira unaisha hapohapo.
6..Kama unaugomvi na mwenye mpira Hurusiwi kucheza,
Kama na wewe unazikumbuka zitaje sheria za mpira za utoto
hahaha mpaka kielewekempira unaisha jua likizama,
wew Ni me au keukimfunga anabeba mpira 😁
mwanamkewew Ni me au ke