Mm ninge anza na sabuni iki shirikiana na viganja vya mikono.....
Yani kusema kweli hivi vitendea kazi havija wahi kuniangusha....
Napenda kuvipa BIG UP
Hao wengine wakina nani sijuwi wote ni stress tu,tupa kule,wala sihitaji kuwa reset...
Imagine na mvua hii iliyo nyesha na kabaridi haka una mpanga demu aje getto alafu Ana kuchomolea, na visingizo kibao,mara DADY yupo HOME leo mara hivi mara vile,ila kwa hivi vitendea kazi vipo FREE muda wote.....