Je ungechagua jina gani kama tungekuwa tunapata nafasi ya kuchagua jina pindi tunazaliwa

Je ungechagua jina gani kama tungekuwa tunapata nafasi ya kuchagua jina pindi tunazaliwa

Ujinga mtupu

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2017
Posts
887
Reaction score
2,010
Habari Za Usiku Wakuu..

Aisee! Dodoma huku makao makuu ya nchi mvua inanyesha balaa.

Sasa Tuje kwa Mada Hivi kama Pindi tu unazailwa Tusingekuwa Tunapewa majina Ya mtoto au kumpa jina la muda (Temporary)

Swali langu je kama Ungepewa nafasi ya kuchagua jina ungechagua jina ulilonalo sasa au ungebadilisha?
 
Dodoma Mvua Nyingi Sana, Limeni Acheni Soga
 
Back
Top Bottom