Mimi binafsi ningekushauri usichukue wananume,pili jichanganyena wanaume,tatu kumwamini mwanamke wa JF nikuegemea mlango wa jela,3sijui kama wewe ni me au Ke kama ni Ke ningekuomba kwa kipindi cha miezi mitatu tuwe na marafiki ili niweze kukubadilisha mtizamo!