Je upi ukweli kuhusu kutanuka ukubwa wa maziwa ya mwanamke

Nikhil

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2013
Posts
361
Reaction score
120
Wakuu ts up.
Maziwa (breast) ya mwanamke nimesikia jamii za watu wengi Mathalani vijana wa mjini.. Wakimuona binti mwenye maziwa makubwa hudai kuwa amechezewa au ameshikwashikwa sana Maziwa yake huenda ikawa ni katika kipindi akiwa anasex mara kwa mara..
JE KUNA UKWELI HAPA..
 
Suala la hormone ilo ...hayo ya kushika Shika yanaeza kua na mchango mdogo sana
 
Kivip mkuu mbna kama wengi ambao wanaonekana hawajachezewa hua ni ya saiz tu..
Kuna dogo mmoja kapigwa sana miti ...Kwa jina namhifadhi na ni mwanafunzi wa chuo ....paka ku abort ka abort but ziwa nkulele a.k.a mchongoma ,,,hormone zina nafasi kubwa sana but kushika Shika sio kiivo labda hormone zitoe pia ushirikiano na kingine ni nature pia
 
Yaliyoshikwa huwa yamelala Kama n makubwa na pia kuna makubwa ambayo n hormone zinasababisha huwa n makubwa lakn hayajalala yaam yanaendelea kuchomoza yanakuwaga Kama yamejaa jaa ivi
 
Yaliyoshikwa huwa yamelala Kama n makubwa na pia kuna makubwa ambayo n hormone zinasababisha huwa n makubwa lakn hayajalala yaam yanaendelea kuchomoza yanakuwaga Kama yamejaa jaa ivi
Sijui wewe ndo kilaza au ni mwalimu wako wa biology
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…