Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bandari ishauzwa hutaki andamana, naona wote wamefyata mikia[emoji23][emoji23][emoji1787]View attachment 2656641
Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
Watulie hii Nchi ina wenyeweBandari ishauzwa hutaki andamana, naona wote wamefyata mikia
All inclusiveShida, dhiki, taabu, majuto, huzuni, hasira, kudhulumiwa, kuuzwa, kutukanwa, kupuuzwa, kutothaminiwa, kudharauliwa, kutosikilizwa, kusalitiwai, kutishwa, kudanganywa, kudhihakiwa, kukejeliwa, kukebehiwa, n.k.
Bandari ile ni raslimali kubwa Ila kitu mtu ukiwa haujui kukitumia pia ni tatizo,
HehehBandari ishauzwa hutaki andamana, naona wote wamefyata mikia
Wote wamefyata Mikia Mwarabu kachukua Bandari kiulaini hutaki andamana tukuone,Heheh
Tushazoea kuuzwa bana
Kwanza tumeikata mikia yenyewe ili wasijue kuwa tumeifyata😆Wote wamefyata Mikia Mwarabu kachukua Bandari kiulaini hutaki andamana tukuone,
Noma sana asee noma sijasikia umesema umekata na mkia wenyewe ili usionekane km umeufyata 😆😆😆🙌Kwanza tumeikata mikia yenyewe ili wasijue kuwa tumeifyata😆
Bongo nyoso
Bpngo tambarare
Tunasubiri tukio lingine tushushe nyongo za kusagia pweza na bagia🤣🏃♂️🏃♂️🏃♂️
😄😄 Waandamanaji Bongo!Kwanza tumeikata mikia yenyewe ili wasijue kuwa tumeifyata😆
Bongo nyoso
Bpngo tambarare
Tunasubiri tukio lingine tushushe nyongo za kusagia pweza na bagia🤣🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Nitamwandama Yesu daima😄😄 Waandamanaji Bongo!
Nasikia Wajackoyah ndo wakili wa utetezi. Kauliza waendesha mashtaka kuwa, wale waliotangulia wamethibitisha kuwa hawajaenda Mbinguni?😀Ngoja tumuulize Makenzie
🤣🤣🤣🤣 Mambo ni mengi muda mchache 🙌Nasikia Wajackoyah ndo wakili wa utetezi. Kauliza waendesha mashtaka kuwa, wale waliotangulia wamethibitisha kuwa hawajaenda Mbinguni?😀