Je, upi utaratibu mzuri wa kugoma nchi nzima?

Je, upi utaratibu mzuri wa kugoma nchi nzima?

nzalendo

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2009
Posts
12,106
Reaction score
12,916
Shida, dhiki, taabu, majuto, huzuni, hasira, kudhulumiwa, kuuzwa, kutukanwa, kupuuzwa, kutothaminiwa, kudharauliwa, kutosikilizwa, kusalitiwai, kutishwa, kudanganywa, kudhihakiwa, kukejeliwa, kukebehiwa, n.k.
 
[emoji23][emoji23][emoji1787]
Screenshot_20230613-182827.jpg


Sent from my Nokia C2 using JamiiForums mobile app
 
Wote wamefyata Mikia Mwarabu kachukua Bandari kiulaini hutaki andamana tukuone,
Kwanza tumeikata mikia yenyewe ili wasijue kuwa tumeifyata😆

Bongo nyoso
Bpngo tambarare

Tunasubiri tukio lingine tushushe nyongo za kusagia pweza na bagia🤣🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Kwanza tumeikata mikia yenyewe ili wasijue kuwa tumeifyata😆

Bongo nyoso
Bpngo tambarare

Tunasubiri tukio lingine tushushe nyongo za kusagia pweza na bagia🤣🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
Noma sana asee noma sijasikia umesema umekata na mkia wenyewe ili usionekane km umeufyata 😆😆😆🙌
 
Nasikia Wajackoyah ndo wakili wa utetezi. Kauliza waendesha mashtaka kuwa, wale waliotangulia wamethibitisha kuwa hawajaenda Mbinguni?😀
🤣🤣🤣🤣 Mambo ni mengi muda mchache 🙌
 
Back
Top Bottom