Shida, dhiki, taabu, majuto, huzuni, hasira, kudhulumiwa, kuuzwa, kutukanwa, kupuuzwa, kutothaminiwa, kudharauliwa, kutosikilizwa, kusalitiwai, kutishwa, kudanganywa, kudhihakiwa, kukejeliwa, kukebehiwa, n.k.
Wanasema kila mtu ashinde mechi zake.π€£π€£π€£π€£ Mambo ni mengi muda mchache π
Na hakuna namna aiseeWanasema kila mtu ashinde mechi zake.
Kila mtu aufyate mkia wake
Tatizo matanzania mengi ni maoga, majinga na tumerogwa wote! Hii nchi imejengwa juu ya misingi ya ushirikina na uchawi! Wakati wa mapambano ya kupigania uhuru ushirikina ulihusika! Hata hivyo, viongozi wetu wengi wamewekwa na shetani kupitia waganga wa kienyeji!Shida, dhiki, taabu, majuto, huzuni, hasira, kudhulumiwa, kuuzwa, kutukanwa, kupuuzwa, kutothaminiwa, kudharauliwa, kutosikilizwa, kusalitiwai, kutishwa, kudanganywa, kudhihakiwa, kukejeliwa, kukebehiwa, n.k.
Wajivuni wanasema, kama vipi peleka sadaka ya KUJIMALIZA kwa Mposa boy pale kaweNa hakuna namna aisee
π€£Yule nae anawamaliza kweli watu jamani....watu hawasanuki tuWajivuni wanasema, kama vipi peleka sadaka ya KUJIMALIZA kwa Mposa boy pale kawe
Hapa mjini ukipata nafasi ya kuwanyoosha wajinga usizembee.π€£Yule nae anawamaliza kweli watu jamani....watu hawasanuki tu
Kabisa,maana wanakubali Kila jambo wakati home wameacha njaaHapa mjini ukipata nafasi ya kuwanyoosha wajinga usizembee.
Sio kwa nchi hii ambayo ina vyama hewa kama CHAWA WA MAMA..
Hao watu ni wahafidhina, na ni issue ya kimaslahi tu
Ko unasubiri wa kulianzisha ππMimi siku nikikuta watu nje wameandamana lazima nijiunge nao
Ndoivyo...ipo siku tu watu watalianzisha tena inaweza ikaanza kwasababu ndogo sana ambayo inaweza hata isiwe ya kisiasa ila watu ndo wakapitia humo na kufanya maafa makubwa sanaKo unasubiri wa kulianzisha ππ
Nina mashaka sana na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama.......SIO VILE ALIVYOACHA MWL.NYERERETatizo matanzania mengi ni maoga, majinga na tumerogwa wote! Hii nchi imejengwa juu ya misingi ya ushirikina na uchawi! Wakati wa mapambano ya kupigania uhuru ushirikina ulihusika! Hata hivyo, viongozi wetu wengi wamewekwa na shetani kupitia waganga wa kienyeji!
Usalama wa taifa wako vizuri na makini kuzuia tukio lolote linaloweza kuhatarisha vibarua vya mabwana zao lakini ni majinga ya mwisho linapokuja swala kulinda na kutetea mali za taifa kuchezewa hovyo
Wazo lako ni zuri, nasikitika ni ngumu kutekelezeka!
Hawa watu sina IMANI nao tena kama kweli wapo kwa ajili ya kutulinda sisi na rasilimali zetu........Hawa ni tofauti sana na wale wa NYERERE wazalendo wa kweli 1978-KAGERA_Idd Amin DadaFFU like your post
View attachment 2656780
Angalau walijaribu.....Lakini bado kuna shida kidogo tu pahala.......kwa sasa mawasiliano yamerahisishwa ...sijui nini kinashindikana kufanyika kimya kimya .......Mimi nafikiri wale wafanyabiashara wa kariakoo na sehemu nyingine muhimu kwenye kodi Tanzania nzima wagome kufungua maduka yao, ili tuwe na vikao vya ana kwa ana.