Je upigaji kura kwa njia ya kielektroniki unaweza kutatua changamoto ya wizi wa kura?

Je upigaji kura kwa njia ya kielektroniki unaweza kutatua changamoto ya wizi wa kura?

DaudiAiko

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2012
Posts
372
Reaction score
310
Wanabodi,

Mapungufu ya uchaguzi yapo, na yamekuwepo kwa muda mrefu sasa. Mapungufu haya kwenye chaguzi yoyote huanza kwenye kuboresha daftari la wapiga kura mpaka hatua ya kuhesabu kura.

Kwa kuweza kujisajili na kupiga kura kwa njia ya kielektroniki labda tunaweza kutatua changamoto ya wizi wa kura na kuongeza idadi ya wapiga kura.

Kama uwezekano wa kuwa na mfumo salama ambao hauna hitilafu yoyote za kiufundi upo basi uchaguzi utawajumuisha watanzania wengi zaidi na kuwezesha serikali kupata takwimu mbalimbali muhimu. Mfumo huu ukitumiwa vizuri pia unaweza kuwezesha serikali kufanya tafiti za maoni kutoka kwa wananchi. Tofauti na kuwa na uwezo wa kupiga kura kila baada ya miaka mitano tu, wananchi wanaweza kujumishwa zaidi kwenye masuala ya nchi kuwa kupiga kura za maoni
 
Sa100 na mcheregwa iwe mvua iwe jua hawawezi kukubali hucho kitanzi
 
Wanabodi,

Mapungufu ya uchaguzi yapo, na yamekuwepo kwa muda mrefu sasa. Mapungufu haya kwenye chaguzi yoyote huanza kwenye kuboresha daftari la wapiga kura mpaka hatua ya kuhesabu kura.

Kwa kuweza kujisajili na kupiga kura kwa njia ya kielektroniki labda tunaweza kutatua changamoto ya wizi wa kura na kuongeza idadi ya wapiga kura.

Kama uwezekano wa kuwa na mfumo salama ambao hauna hitilafu yoyote za kiufundi upo basi uchaguzi utawajumuisha watanzania wengi zaidi na kuwezesha serikali kupata takwimu mbalimbali muhimu. Mfumo huu ukitumiwa vizuri pia unaweza kuwezesha serikali kufanya tafiti za maoni kutoka kwa wananchi. Tofauti na kuwa na uwezo wa kupiga kura kila baada ya miaka mitano tu, wananchi wanaweza kujumishwa zaidi kwenye masuala ya nchi kuwa kupiga kura za maoni
Sio kwa stystem ya nchi hii.
Vyuoni kwenyewe tu watu wanahack system sembuse gavoo?
Utakuta You have already cast your vote. Na usiamini macho yako
 
Wanabodi,

Mapungufu ya uchaguzi yapo, na yamekuwepo kwa muda mrefu sasa. Mapungufu haya kwenye chaguzi yoyote huanza kwenye kuboresha daftari la wapiga kura mpaka hatua ya kuhesabu kura.

Kwa kuweza kujisajili na kupiga kura kwa njia ya kielektroniki labda tunaweza kutatua changamoto ya wizi wa kura na kuongeza idadi ya wapiga kura.

Kama uwezekano wa kuwa na mfumo salama ambao hauna hitilafu yoyote za kiufundi upo basi uchaguzi utawajumuisha watanzania wengi zaidi na kuwezesha serikali kupata takwimu mbalimbali muhimu. Mfumo huu ukitumiwa vizuri pia unaweza kuwezesha serikali kufanya tafiti za maoni kutoka kwa wananchi. Tofauti na kuwa na uwezo wa kupiga kura kila baada ya miaka mitano tu, wananchi wanaweza kujumishwa zaidi kwenye masuala ya nchi kuwa kupiga kura za maoni
Sio Kwa bongo mzee
 
Kama System imejaa Makada wa CCM hata ukiletwa mfumo wa Kielektroniki kura zitaibiwa tu tena kirahisi.

Kinachotakiwa ni Tume iwe HURU na ifanye mambo yake kwa UHURU.
 
Kama System imejaa Makada wa CCM hata ukiletwa mfumo wa Kielektroniki kura zitaibiwa tu tena kirahisi.

Kinachotakiwa ni Tume iwe HURU na ifanye mambo yake kwa UHURU.
Bongo hii itaendelea hata miaka 70 mbele
 
Wanabodi,

Mapungufu ya uchaguzi yapo, na yamekuwepo kwa muda mrefu sasa. Mapungufu haya kwenye chaguzi yoyote huanza kwenye kuboresha daftari la wapiga kura mpaka hatua ya kuhesabu kura.

Kwa kuweza kujisajili na kupiga kura kwa njia ya kielektroniki labda tunaweza kutatua changamoto ya wizi wa kura na kuongeza idadi ya wapiga kura.

Kama uwezekano wa kuwa na mfumo salama ambao hauna hitilafu yoyote za kiufundi upo basi uchaguzi utawajumuisha watanzania wengi zaidi na kuwezesha serikali kupata takwimu mbalimbali muhimu. Mfumo huu ukitumiwa vizuri pia unaweza kuwezesha serikali kufanya tafiti za maoni kutoka kwa wananchi. Tofauti na kuwa na uwezo wa kupiga kura kila baada ya miaka mitano tu, wananchi wanaweza kujumishwa zaidi kwenye masuala ya nchi kuwa kupiga kura za maoni
Umetumwa kupima upepo?

Achana na hii hoja.

Katiba mpya ndo msingi
 
Kama System imejaa Makada wa CCM hata ukiletwa mfumo wa Kielektroniki kura zitaibiwa tu tena kirahisi.

Kinachotakiwa ni Tume iwe HURU na ifanye mambo yake kwa UHURU.
Kupiga kura kwa njia ya elektroniki ita punguza muda wa matokeo kutangazwa baada ya kura kupigwa. Pia ita rahisisha zoezi la kupitia daftari la wapiga kura. Inawezekana kwamba udanganyifu unaanza kwenye kuandikisha wapiga kura. Elewa pia kwamba hata wafanyakazi wa tume ya uchaguzi wana hulka za kisiasa. Kupunguza mikono ya watu kwenye mchakato ya uchaguzi utapunguza udanganyifu
 
Hiyo ndio itarahisisha kura kuibwa zaidi walau sahizi wanapata tabu kuingiza maboksi sasa kuminya vitufe tu unadhani inakuaje
 
Uchaguzi wa kenya ndio mfano halisi, lakini unajua kilichofanyika huko Kenya na wale jamaa wa Venezuela. Rejea kesi ile ya uchaguzi- Raila 2 .
 
Back
Top Bottom