1.kuugua kwa tumbo au maumivu ya tumbo mara kwa mara?
2.Kufanya mapenzi na mwanaume kwa muda mrefu mwendo wa masaa 2na kuendlea bila kuchoka?.
3.kutoona siku za hatari(danger zone).kwa mda na kurejea tena?haya n maswahiba yanayomkuta rafki wakarbu tunaomba busara yako.
Na pia kwa docta almtaadharisha.na kumpa dawa za kutumia.JE KUNAUSALAMA HAPO?