je, usaili tgcl ndo utatumika kama kigezo cha kupata Scholarship?

je, usaili tgcl ndo utatumika kama kigezo cha kupata Scholarship?

ba nso

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2012
Posts
668
Reaction score
225
Tare he 11. 02. 2014 usaili
ulifanyika kwa
walioomba scholarship za tgcl.
Chakushangaza ni mda mchache
uliotumika
kwa Kila mtu kuhojiwa, yani dk5
tu. Maswali
ya kujiuliza ni: je huu usaili ndo
itatumika
kama kigezo cha kupata au
kukosa nafasi?
Nini kiliazingatiwa ndani ya mda
huo? Kama
Kuna vigezo vingine wazoefu
tupatieni.
Karibu tujadili
 
Tare he 11. 02. 2014 usaili
ulifanyika kwa
walioomba scholarship za tgcl.
Chakushangaza ni mda mchache
uliotumika
kwa Kila mtu kuhojiwa, yani dk5
tu. Maswali
ya kujiuliza ni: je huu usaili ndo
itatumika
kama kigezo cha kupata au
kukosa nafasi?
Nini kiliazingatiwa ndani ya mda
huo? Kama
Kuna vigezo vingine wazoefu
tupatieni.
Karibu tujadili

ndo nini hiyo hebu fafanua
 
dak5 kwa usaili wa mdomo ni nyingi sana ,kwa sababu maswali yanakuwa yashatayarishwa,
 
Back
Top Bottom