Tare he 11. 02. 2014 usaili
ulifanyika kwa
walioomba scholarship za tgcl.
Chakushangaza ni mda mchache
uliotumika
kwa Kila mtu kuhojiwa, yani dk5
tu. Maswali
ya kujiuliza ni: je huu usaili ndo
itatumika
kama kigezo cha kupata au
kukosa nafasi?
Nini kiliazingatiwa ndani ya mda
huo? Kama
Kuna vigezo vingine wazoefu
tupatieni.
Karibu tujadili
ulifanyika kwa
walioomba scholarship za tgcl.
Chakushangaza ni mda mchache
uliotumika
kwa Kila mtu kuhojiwa, yani dk5
tu. Maswali
ya kujiuliza ni: je huu usaili ndo
itatumika
kama kigezo cha kupata au
kukosa nafasi?
Nini kiliazingatiwa ndani ya mda
huo? Kama
Kuna vigezo vingine wazoefu
tupatieni.
Karibu tujadili