Je, Usajili huu wa Simba umegharimu Billion 2? Hapa kuna upigaji mkubwa sana

Gongo wazi nitumie akili nyie hata hiyo akili hamna. Mngekuwa na akili mngeongozwa na msomali?
Anayewatukana mmeshiba mihogo?Luke Eymael hakukosea kuwaita manyani.
 
Wewe kama unajua hao wachezaji walinunuliwa kwa pesa ngapi tuwekee ushahidi wako hapa tuuone, sio unatuletea hisia zilizochanganyika na kelele nyingi, kukataa unachoambiwa wakati wewe hauna ushahidi wowote ni uzwazwa tu, na wale wote wanaokushangilia ni mazwazwa wenzio.
 
Reactions: Tui
Wewe kama unajua hao wachezaji walinunuliwa kwa pesa ngapi tuwekee ushahidi wako hapa tuuone, sio unatuletea hisia zilizochanganyika na kelele nyingi, kukataa unachoambiwa wakati wewe hauna ushahidi wowote ni uzwazwa.
Hivi Mzee mwenzangu inaitaji uwe na PhD kutoka Harvard university kuelewa hapo Simba hakuna mchezaji hata wa milioni 150 kama zile za Mo Xtra?
 
Msomali anasaini mkataba juu ya mkataba mwingine !Ndio mavi yatawatoka mlidhani Sports Pesa ya Tarimba.?Bado siku 2?
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Reactions: Tui
Mimi tena nilete ushahidi? Yaani hujui hata kilichojili mkutano mkuu wa klabu yako, unatakiwa uwahoji uongozi walete ushahidi wa hao wachezaji wa bil 2 ni wapi? Mimi nimewtafunia tu kuwa wachezaji wetu tuliosajili ndio Hawa kina kapama, kyombo, akpana, okwa, okrah sawadogo, baleke na Saido na wengi wao haponi free agents na wachezaj wa mkopo
 
Tuwekee ushahidi hapa wa pesa iliyowanunua tuuone, kama hauna nawe ni zwa...🫣🫣
Use your common sense Mzee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] au upo lile kundi alilosema Mzee Aden Rage?
 
Jiwe limekupiga utosini Nini? Maana so kwa povu ili😂😂
 
Hebu kopi utuwekee hapa japo kipande cha hayo maneno au taarifa uliyosema hivyo. Au pengine tuwekee kavideo kakuonesha wanatoa taarifa hiyo.

Vinginevyo tunaweza poteza muda na nguvu zetu kujadili utopolo wako.
 
Kama sio wewe uliekuja na kilio hapa, unataka awe nani mwingine?!
 
Reactions: Tui
Hebu kopi utuwekee hapa japo kipande cha hayo maneno au taarifa uliyosema hivyo. Au pengine tuwekee kavideo kakuonesha wanatoa taarifa hiyo.

Vinginevyo tunaweza poteza muda na nguvu zetu kujadili utopolo wako.
Sports Pesa wamewashika makalio.Kila wakigeuka hatoki.Kumpa mjinga asiyeweza hata kusoma mkataba ndio matokeo yake.
Kuweweseka huku ni kujaribu kupeleka focus sehemu nyingine Deadline bado siku 2.
 
Upigaji Simba haujaanza Leo. Hebu fuatilia utagundua viongozi wengi wa Simba wamewahi ama kufungwa au kushtakiwa Kwa ubadhirifu wa fedha
 
ILA MLETA MADA.
HOJA YAKO NI NZITO SANA
MADA NZURI.

ILA AKILI ZAKO NDIO NDOGO KUJIDAI WEWE MWANA SIMBA KUMBE UTOPOLO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…