Je, Usajili huu wa Simba umegharimu Billion 2? Hapa kuna upigaji mkubwa sana

Klabu yenu wewe na nani?

Hebu toa utopolo wako huko...nyokanyoka mkubwa weeeeeeeee
 
Reactions: Tui
We ndio wale mbumbumbu aliowasema mwenyekiti wetu mstaafu Aden Rage.
Kwanza una kadi ya Uanachama ya Simba? Unajua Manzoki tulishindwa kumsajili kwa kushindwa kulipa Mil 300?
Wewe ndio wale HAMNAZO aliowàsema msemaji wenu haji manara ......

HUNA AKILI unabwekabweka kama mbwa
 
Reactions: Tui
Klabu yenu wewe na nani?

Hebu toa utopolo wako huko...nyokanyoka mkubwa weeeeeeeee
Mbona unanishambulia Mimi badala ya kushambulia hoja? Mwenyekiti wetu mstaafu ndugu Rage aliona mbali sana
 
Mkuu hili jambo sio geni kwako, Nina uhakika unajua uozo mwingi uliopo Simba sema unashindwa kuuweka hapa jukwaani kwa mapenzi yako yaliyotukuka kwa Simba. Ila waswahili wanasema mficha maradhi...???[emoji848][emoji848]
 
Mkuu hili jambo sio geni kwako, Nina uhakika unajua uozo mwingi uliopo Simba sema unashindwa kuuweka hapa jukwaani kwa mapenzi yako yaliyotukuka kwa Simba. Ila waswahili wanasema mficha maradhi...???[emoji848][emoji848]
Hizo bando zako za buku buku zitumie kwa kununua mihogo unywe na maji uvimbiwe ulale.Hoja zako za kipumbavu zingewasaidia Utopolo wenzako.
 
Mkuu free agent haimainishi kuwa fedha ya usajili haipo. Ipo palepale isipokuwa ni mchezaji mwenyewe ndo anakunja ayo manoti. Ata awa wakina manula ukisikia wameongeza mkataba lazima wakunje noti ya usajili ikitegemea na thamani ya mchezaji husika. Wewe Kama ni mwanachama ungeomba mchanganio wa Io 2 billion unayoizungumzia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…