Je Usalama wa Taifa ni kina Nani?

Je Usalama wa Taifa ni kina Nani?

Status
Not open for further replies.

maishapopote

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2009
Posts
3,408
Reaction score
6,094
Kipindi cha nyuma walikua wakiitwa mashushushu,nowadays wanaitwa usalama,walikua wanaogopeka sana zamani lakini hv sasa tunaishi nao na pia wanajulikana wengi wao,siku hizi hata wengine huwa wanajisifia na kutoa silaha zao kwenye mabaa na sehemu za wazi kwa minajili ya kukuza jina,hebu wadau tusaidiane yafuatayo....
  • Je Muundo wa Usalama wetu wa Taifa Ukoje?
  • Je watu hawa huwa wanapata training za kutosha?
  • Wanachaguliwaje hawa?
  • Je hakuna hatari kwa kutokua na ofisi yoyote ya wazi ambapo kama una information unaweza kuwapa(Angalia C.I.A)
  • Je wako Trained Enough?(Rejea tukio la Mhe.Kupigwa kibao wakiangalia)
  • Je mfumo wao wa uendeshaji hauna upendeleo(Angalia umri wa walinzi wa viongozi wetu na maumbo Yao)
  • Je ni kweli wanaprotect Usalama wa nchi au usalama wa viongozi wetu?
Hebu wadau tusaidiane kwenye hili...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom