TwendeSasa
Senior Member
- May 24, 2008
- 128
- 116
Katika kuchangia hoja ya Richmond Mheshimiwa Karamagi alisoma kimemo alichotumiwa na mheshimiwa mwenzake na maneno yake yalisomeka hivyi
Muungwana Akivuliwa Nguo huchuchumaa ili aibu ipite nakuomba usiongee watakumaliza hao
ninaomba wana JF tujaribu kujiuliza Je ni mheshimiwa gani atakuwa amemtumia hicho kimemo
Je atakuwa ni waziri au Mbunge Tu
Je atakuwa naye ni mmoja wa watuhumiwa wa richmond
Maoni yako ni muhimu katika kupigana na MAFISADI
Jamii fover!!!!🙄
Muungwana Akivuliwa Nguo huchuchumaa ili aibu ipite nakuomba usiongee watakumaliza hao
ninaomba wana JF tujaribu kujiuliza Je ni mheshimiwa gani atakuwa amemtumia hicho kimemo
Je atakuwa ni waziri au Mbunge Tu
Je atakuwa naye ni mmoja wa watuhumiwa wa richmond
Maoni yako ni muhimu katika kupigana na MAFISADI
Jamii fover!!!!🙄