Heeeh stak hata kukumbuka kabisaa,
Wakat huo nikiwa 4m 3 kipindi cha likizo, nkaenda kumtembelea dada angu mkoa fulan, ambapo mumewe (shemej) ni mjeshi, ambapo walikua wanaish ktk eneo la kota za jesh karibu na kambi yao.
Sasa siku hiyo dada alipatwa na tatizo la homa ghafla kwan alikuwa mjamzito, na kwa wakati ule alikuwepo mam mkwe wake (mama mzaz wa shemej) ambapo alikua ktk usaidizi wa kumtunza dada,
Akanambia niende kule kambini kwa shemej nkatoe taarifa, lahaah aulah tobaah nilivofika pale kuna eneo km sehem ya kupumzika hivi, nkawakuta wanajesh wa 4 wamekaa wanazungumza, mie huyu hata bila salam, nkaanza kuuliza alipo shemej huku nikitaja jina lake,
Mjesh m1 akantazama tyuuuh, mara akanishka shati akaniamuru nipige magoti, nkatii nkarukishwa kichura kichura, pewa kwan mazoez ya kushtua mwili, nkasimamishwa nkaambiwa haya nieleze nini kilichonipeleka pale, nkaeleza akafatwa, shemej akaja pale, akaambiwa kabla hajanisikiliza shida angu, sijafuata kanuni na sheria za pale hivyo anipe adhabu mbele yao.
Shemeji alinipa mazoezi ambayo sitakaa nisahau kamwe maishani mwangu, nilipiga adhabu hadi niliishiwa nguvu kabisaa, alinichapa mtama m1 nusu anivunje kiuno, yaan nilikua nyang'anyang'a kwa adhabu, hata kuongea nlikua nashindwa, ndo wale wajeda wakamuamuru aniache, nkakaa chini, wale wajeda wakamuambia shemej shida iliyonipeleka pale.
Basi akanichukua akaniweka ndan ya gari yake tukarud nyumban, tulivofka home, nkapitiliza 1 kwa 1 room kulala, wao wakafanya taratibu za kumpeleka dada hospital, shem alivorud kutoka hospital akaja room kunichek akaniomba msamaha, sikumjibu chochote,
Dada alivopata nafuu na kuruhusiwa kurud nyumban kutok hospital, nkamueleza wazi tyuuuh, ule ndio ulikua mwsho wa mie kuja pale akauliza n 7bu gan, nkamuambia mumewe anajua kila kityu, shem aliweka wazi dada alilia mnoo, nkaomba ruhusa ya kurud home na tangu wakati huo sijawah kwenda na sitaenda tena.
Basi nikiwa naongea na shem hua ananiambia kuwa wale wajeda wananisalimia, mie huwa naishia kucheka kinafiki tyuuh, kuna siku mjeda m1 kat ya wale nilizungumza nae kupitia cm ya shem yaan alivokuwa anajifanya mwema kwangu, msieeew zake kabisaa wauwaji wale.
Nawaogopa wanajesh had baas khaaaah. [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]