The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Maisha ni fumbo na fumbo lenyewe Lina kuja pale unapougua na hujui utapona au ndo mazima.
Kuna magonjwa yanayoeleweka yanakupa hope kwamba ni suala la mda tu mambo yatakaa sawa. Ila Sasa kuna haya magonjwa ambayo mtu unakuwa uncomfortable mda mwingi unameza dawa hadi mwili unanuka dawa.
Yani ukimwona mtu mwenye afiya unamtamani sana.
Afya ndo kila kitu mazee. Ukiambiwa Linda afya yako Linda kwelikweli. Tujiepusha na maradhi yanayoepukika hasa haya ya mtindo wa maisha.
Ni hayo tu kwa leo.
Kuna magonjwa yanayoeleweka yanakupa hope kwamba ni suala la mda tu mambo yatakaa sawa. Ila Sasa kuna haya magonjwa ambayo mtu unakuwa uncomfortable mda mwingi unameza dawa hadi mwili unanuka dawa.
Yani ukimwona mtu mwenye afiya unamtamani sana.
Afya ndo kila kitu mazee. Ukiambiwa Linda afya yako Linda kwelikweli. Tujiepusha na maradhi yanayoepukika hasa haya ya mtindo wa maisha.
Ni hayo tu kwa leo.