James Hungury
JF-Expert Member
- Jun 8, 2013
- 825
- 612
Habari wapendwa,
Leo nataka nilete mjadala kwenu kuhusu kuwa Muotaji Hai. Mimi binafsi hii hali ishanikumba na mpaka sasa hujitokeza, na ilikuwa kama hivi;
Nilikuwa nikipenda kuota nikiwa mtu tajiri na wakat mwingine nilikuwa nikiendesha mawazo yangu vile nilivyotaka. Kwa mfano natengeneza mazingra nikiwa rais, na nikiwa nafanya mambo makubwa tu.
Hali hii nilikuwa naipenda sana, kuna wakati nilikuwa natamani niende kitandani ili niote mambo makubwa akilini mwangu, lakini hali hii ilikuwa ikifanyika nikiwa najitambua kitandani.
Sasa ndugu, nataka kujua je, kitu hiki kishawahi kukutokea? Au wataalamu mnaweza kutusaidia.
Ahsante..
Leo nataka nilete mjadala kwenu kuhusu kuwa Muotaji Hai. Mimi binafsi hii hali ishanikumba na mpaka sasa hujitokeza, na ilikuwa kama hivi;
Nilikuwa nikipenda kuota nikiwa mtu tajiri na wakat mwingine nilikuwa nikiendesha mawazo yangu vile nilivyotaka. Kwa mfano natengeneza mazingra nikiwa rais, na nikiwa nafanya mambo makubwa tu.
Hali hii nilikuwa naipenda sana, kuna wakati nilikuwa natamani niende kitandani ili niote mambo makubwa akilini mwangu, lakini hali hii ilikuwa ikifanyika nikiwa najitambua kitandani.
Sasa ndugu, nataka kujua je, kitu hiki kishawahi kukutokea? Au wataalamu mnaweza kutusaidia.
Ahsante..