Je, ushawai kukutana na Doppelganger (Double walker) na ilikuwaje?

Je, ushawai kukutana na Doppelganger (Double walker) na ilikuwaje?

TheDreamer Thebeliever

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2018
Posts
2,490
Reaction score
3,584
Habari wadau..!
Wanasayansi wanaamini kwamba katika dunia kwa kila sura moja ya mtu basi kuna sura sita zinazofanana na mtu huyo na hiyo kwa kijerumani ikaitwa Doppelganger (Double walker).

Double walker siku zote wanaweza wakawa hata hawana undugu lakini wanafanana kama mapacha (identical twin).

Je ushawai kukutana na ishu kama hii kwamba watu sio ndugu lakini wanafanana balaa au ushawai kufananishwa na mtu fulani?

Doppelganger imewatoa kimaisha watu wengi sana walio bahatika kufanana na watu maarufu mfano Wolper na Uwoya hawa ni Dopperganger japo sio kwa asilimia kubwa nasikia Uwoya ndio alimtoa Wolper, kuna yule jamaa wa Arusha anayefanana na Diamond Platinum kasoro rafudhi tu ndio ya Kichugga.

Pia Double walker theory imetumiwa sana na marais wa Marekani ,yaani mfano unaambiwa labda Joe Biden au Obama atakuja Tz harafu wakinusa harufu ya rais kuvamiwa mnaletewa rais copy sio mwenyewe mfano wale Obama,Bush na Crinton waliowahi kuja Tanzania nasikia wale walikuwa feki yaani copy au Doppelgangers wa marais noma sana.

Pia watu hususa waSouth Africa wenyewe wanadai hata Nelson Mandela tunayemjua sisi ni Doppel ganger tu (double walker) wala sio Mandela mwenyewe, mzee Mandela mwenyewe walimuua gerezani akatafutwa Doppelganger yeye ndio akawa kama Mandela .
 
Si kama mimi nilivyofanana na Sadio Mane.
IMG-20210417-WA0002.jpg
 
Yaani umeanza vizuri na nikawa interested kuendelea kusoma, lakini nilipofika hapa tu nikamuomba mama muuza chai atayoniletea mezani aongeze mdalasini wa kutosha
Hizo ni habari za ki intelejensia mtu kama ww hauwezi kizipata ,ndio maana lazima utabisha tu.😂😂
 
tatizo umechanganya mafaili sana mpaka rdha ya uzi ikakata..

duniani wawili wawili Doppelgangers wapo lakini inakuaga sio kitu raisi kukutana na Doppelganger kama wewe ulivyoelezea hapo,
Hawa doppelganger wanakua wanafanana mpaka ambitions, mawazo, matamanio yani kama wewe unapenda kuwa rubani basi na doppelganger wako nae anapenda kuwa rubani kama wewe unapenda wasichana wembamba na yeye uko ni ivoivo.

ila kiukweli inakuwa nadra sana kwa hawa watu kukutana pampa kwa pampa yani mtu anazaliwa naishi hadi anakufa hakutani na doppelganger wake na kwasababu iyo ya kuto kukutana mwisho tunaona kama ni stori za kusadikika tu
 
Mimi nilishawahi kumuona mtu kafanana saaaana na mimi... Mwanzo nilipeww habari sikuamini aseeeh siku nimekuja mtia machoni daah??? Hatari saaana kwa upande wangu hili naliafiki 💪💪
 
Mimi nahis nitakua na doppelgangers wengi maanake si kwa kufananishwa hivi... Nachangamkiwa na watu wengi kwa kufananishwa, na vingine napata buree... Nakataa mimi sio fulani wanayemjua wanakataa, basi najilia zangu tu.
 
tatizo umechanganya mafaili sana mpaka rdha ya uzi ikakata..

duniani wawili wawili Doppelgangers wapo lakini inakuaga sio kitu raisi kukutana na Doppelganger kama wewe ulivyoelezea hapo,
Hawa doppelganger wanakua wanafanana mpaka ambitions, mawazo, matamanio yani kama wewe unapenda kuwa rubani basi na doppelganger wako nae anapenda kuwa rubani kama wewe unapenda wasichana wembamba na yeye uko ni ivoivo.

ila kiukweli inakuwa nadra sana kwa hawa watu kukutana pampa kwa pampa yani mtu anazaliwa naishi hadi anakufa hakutani na doppelganger wake na kwasababu iyo ya kuto kukutana mwisho tunaona kama ni stori za kusadikika t
Kukutana na doppelganger ni bahati au watu wanaweza kukusaidia kumpata au kukuletea mm binafsi wakati nasoma chuo nilikuwa kila nikienda kwenye cafteria wauzaji wa Cafe walikuwa wananidandia kwamba nakopa msosi mara kibao harafu kulipa mbishi ilizua utata mpk kwa dean of student nikalipishwa ,baadae nikaanza kusikia kwamba kuna mtu anafanana kama mm nilipofuatilia nikagundua haisee kweli kuna chalii ya Arusha ipo kama photocopy yangu kila kitu tunafanana mpk tabia isipokuwa kitu kimoja tu mm napenda kucheza basketball ila yeye anapenda football ,basket hajui.

Huyu chalii ndio alikuwa anakopa harafu ananiachia msala mm,na hii niligundua baada yavkuanzisha urafiki naye nikampeleka mpk home mpk leo ni mwanafamilia .
 
Habari wadau..!
Wanasayansi wanaamini kwamba katika dunia kwa kila sura moja ya mtu basi kuna sura sita zinazofanana na mtu huyo na hiyo kwa kijerumani ikaitwa Doppelganger (Double walker).

Double walker siku zote wanaweza wakawa hata hawana undugu lakini wanafanana kama mapacha (identical twin).

Je ushawai kukutana na ishu kama hii kwamba watu sio ndugu lakini wanafanana balaa au ushawai kufananishwa na mtu fulani??

Doppelganger imewatoa kimaisha watu wengi sana walio bahatika kufanana na watu maarufu mfano Wolper na Uwoya hawa ni Dopperganger japo sio kwa asilimia kubwa nasikia Uwoya ndio alimtoa Wolper ,kuna yule jamaa wa Arusha anayefanana na Diamond Platinum kasoro rafudhi tu ndio ya kiArachugga.

Pia Double walker theory imetumiwa sana na marais wa Marekani ,yaani mfano unaambiwa labda Joe Biden au Obama atakuja Tz harafu wakinusa harufu ya rais kuvamiwa mnaletewa rais copy sio mwenyewe mfano wale Obama,Bush na Crinton waliowahi kuja Tanzania nasikia wale walikuwa feki yaani copy au Doppelgangers wa marais noma sana.

Pia watu hususa waSouth Africa wenyewe wanadai hata Nelson Mandela tunayemjua sisi ni Doppel ganger tu (double walker) wala sio Mandela mwenyewe, mzee Mandela mwenyewe walimuua gerezani akatafutwa Doppelganger yeye ndio akawa kama Mandela .
Inawezekana...Ila kwa story zako naona nyingi nizavijiwee vya kahawa
 
Back
Top Bottom