Sipendi aisee.Duu๐๐๐๐๐๐๐๐๐kwani wewe uongozi hupendi mkuu
Basi itakuwa muonekano wako au unauchangamfu fulani sema uongozi ni rahaa kama utaupenda๐๐๐Sipendi aisee.
Nina nature ya utundu sasa sipendi kuwa kwenye limelight bana na sipendi publicity.
Sasa unajikuta watu hawana mbavu na ukiangalia umesema nini cha ajabu hamna ila watu wanafuta machozi aisee ๐ฎ๐ฎhapana kwa kweli.
Aisee siupendi kabisa kabisa ๐๐Basi itakuwa muonekano wako au unauchangamfu fulani sema uongozi ni rahaa kama utaupenda๐๐๐
Wanakuja kutoa muongozo๐๐๐Ndiyo...
Nasoma comments...
[emoji23][emoji23][emoji23]jichanganye !