Je, usikilizaji wa mashauri CMA DAR umeanza?

Je, usikilizaji wa mashauri CMA DAR umeanza?

BALENSIAGA

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2019
Posts
3,353
Reaction score
5,800
Habari zenu wanaJf,

Mimi naomba kuuliza swali kama CMA ya DAR wameanza kusikiliza. Mashauri kwa sababu yaliahirishwa tangu tarehe 14/4.

Naomba majibu kama wameanza kusikiliza mashauri.
 
Nitafuatilia maana nina kesi yangu hapo mpaka tarehe 20 mwezi huu!! mwezi uliopita waliahirisha
 
Back
Top Bottom