Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwahyo tuseme wewe unapenda kungonoka Nini?Haraka sana naenda kumjaza mimba mama wa magogoni!
Kuwa makini mkubwa,Huhuuuuuuuuuu
Ningewasha ngada a.k.a bhange mapokezi mwa polisi nikisindikizia na ka gongo namba wani
Kuna moment ukipiga pegi moja hafu ukakasukumia n pfu kama mbili za bhange inatengenezwa kama sukari fulani hivi isio na maelezo huku ukihama ki hisia taratibu na mbinu za kuwakwepa ma mweli zikija kama vile ww ni rambo. Sembuse itangazwe et ruksa!!!!!!???
Masaaa 24 tuu kitambi tayari
Hajasema madharaKuwa makini mkubwa,
Maana ikatokea vitu vikakuzidi ukazima alaf uamke masaa 24 yameisha na upo counter utajua hujui.[emoji23]