Hakuna takachofanya kitakachosaidia chochote..,
Ila tapata wasiwasi na busara za mke wangu.., (na kama sio chizi),
basi tajua kibuti kinakaribia (akufukuzae hakwambii toka).
Na kama nataka kumuudhi na yeye tamwambia mhh zawadi kubwa kuliko zote ?, haiwezekani nadhani EX wangu ndio alitoa zawadi kubwa zaidi