Je, utajiri wa wachungaji na maaskofu unatokana na fedha za waumini au juhudi zao?

Je, utajiri wa wachungaji na maaskofu unatokana na fedha za waumini au juhudi zao?

HAKI KWA WOTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2022
Posts
1,108
Reaction score
1,132
Ni wazi jamii yote inashuhudia wachungaji na maaskofu wakiibuka kuwa na mali nyingi kuliko waumini wao wanaowaombea.

Natatizwa na wimbi kubwa la waumini wao kuzidi kuzama kwenye wimbi la UMASIKINI huku maaskofu na wachungaji hao wakiendelea kutajirika kitu ambacho kinaleta kiulizo je,utajiri huo unatokana na fedha za waumini wanazotoa kwao kama sadaka, zaka, 10%, nk ndizo zinachukuliwa na kuzungushwa au ni juhudi zao wenyewe maaskofu na wachungaji kutafuta pesa zao wenyewe?

Mwenye jibu atusaidie!!
 
Piga hesabu ukienda church unatoa sadaka bei gani? Halafu times watu wakanisani utapata jibu, achilia mbali wale wanaotaka special prayers, na wale wa prayer line bila kusahau maji ya baraka,mafuta na crusades
 
Mfano huyu mtu wa pekasi, angalia maji na mafuta anayouza anapata ngapi! Sadaka ni nyingi, kuna fununu kila Jumapili anaibuka na mamilioni. Wanapata pesa nyingi kilaini bila jasho! Ndio maana watu wengi wanaibuka na makanisa baada ya kugundua ni dili.
 
Ni wazi jamii yote inashuhudia wachungaji na maaskofu wakiibuka kuwa na mali nyingi kuliko waumini wao wanaowaombea.

Natatizwa na wimbi kubwa la waumini wao kuzidi kuzama kwenye wimbi la UMASIKINI huku maaskofu na wachungaji hao wakiendelea kutajirika kitu ambacho kinaleta kiulizo je,utajiri huo unatokana na fedha za waumini wanazotoa kwao kama sadaka, zaka, 10%, nk ndizo zinachukuliwa na kuzungushwa au ni juhudi zao wenyewe maaskofu na wachungaji kutafuta pesa zao wenyewe?

Mwenye jibu atusaidie!!
Nina mkakati wa kuanzisha kanisa la maombi, maombezi na miujiza hivi karibuni.
 
Ni wazi jamii yote inashuhudia wachungaji na maaskofu wakiibuka kuwa na mali nyingi kuliko waumini wao wanaowaombea.

Natatizwa na wimbi kubwa la waumini wao kuzidi kuzama kwenye wimbi la UMASIKINI huku maaskofu na wachungaji hao wakiendelea kutajirika kitu ambacho kinaleta kiulizo je,utajiri huo unatokana na fedha za waumini wanazotoa kwao kama sadaka, zaka, 10%, nk ndizo zinachukuliwa na kuzungushwa au ni juhudi zao wenyewe maaskofu na wachungaji kutafuta pesa zao wenyewe?

Mwenye jibu atusaidie!!
Stupid question.
 
Back
Top Bottom