Lyrics Master
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 479
- 670
Hawapigi tena track redioni,
Na hata kwenye TV haunioni,
Na jina haliendi chini,
Najua unashangaa hata mimi sijui kwanini,
Je ungenipenda Kama nisingekuwa Staa!?
Kwasababu sio handsome wanasema ungekataa,
Mimi ni msanii na ndio maisha nayoishi,
Sometimes sina kitu Ila nakua mbishi,
Nikipita manukato wengine wanaita marashi,
Aaah Sio ya pemba Bali ni harufu ya guchi,
Kila kitu ni original nang'ara kuliko tochi,
Kwenu Mimi ni mpaka ndani seblen,
Cheni kubwa shingoni,.
Na heleni huku na huku masikioni ,
Na Nashangaa mama'ko haniiti tena mhuni,
Nasikia alitoa chozi nilipoingilia na gun,
Je ungenipenda ningelost niwe fukara,
Au ungeniona si deal na sifai kwa biashara,
Me ndio Sugu hutapata Bwana Bora,
Asikuambie mtu kitu, mabitozi na matuu ni mikwara tuuu na hawana kitu,
Kiwese geji iko chini,
Ndiomaana vioo vipo chini,
Unastahili kilicho Bora lazima uwe makini,
Sema nikuite nani au kwini kama Dorini,
Nambie utanipenda kama nisipo kuwa staa,
Na kama siku ntalost na kukosa chapaa
Na hata kwenye TV haunioni,
Na jina haliendi chini,
Najua unashangaa hata mimi sijui kwanini,
Je ungenipenda Kama nisingekuwa Staa!?
Kwasababu sio handsome wanasema ungekataa,
Mimi ni msanii na ndio maisha nayoishi,
Sometimes sina kitu Ila nakua mbishi,
Nikipita manukato wengine wanaita marashi,
Aaah Sio ya pemba Bali ni harufu ya guchi,
Kila kitu ni original nang'ara kuliko tochi,
Kwenu Mimi ni mpaka ndani seblen,
Cheni kubwa shingoni,.
Na heleni huku na huku masikioni ,
Na Nashangaa mama'ko haniiti tena mhuni,
Nasikia alitoa chozi nilipoingilia na gun,
Je ungenipenda ningelost niwe fukara,
Au ungeniona si deal na sifai kwa biashara,
Me ndio Sugu hutapata Bwana Bora,
Asikuambie mtu kitu, mabitozi na matuu ni mikwara tuuu na hawana kitu,
Kiwese geji iko chini,
Ndiomaana vioo vipo chini,
Unastahili kilicho Bora lazima uwe makini,
Sema nikuite nani au kwini kama Dorini,
Nambie utanipenda kama nisipo kuwa staa,
Na kama siku ntalost na kukosa chapaa