Je, utashuka mara ngapi kuondoa ukungu kwenye kioo cha mbele (windscreen) cha gari lako mida ya asubuhi au kwenye hali ya ukungu?

Je, utashuka mara ngapi kuondoa ukungu kwenye kioo cha mbele (windscreen) cha gari lako mida ya asubuhi au kwenye hali ya ukungu?

Mwanamayu

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2010
Posts
11,662
Reaction score
6,888
Leo alfajiri wakati natoka kwangu kuelekea kibaruani niliona Benz aina ya saloon lime-park pembeni huku dereva akifuta ukungu uliokuwepo kwenye windscreen. Yawezekana aliamua kufanya hivyo kwa sababu alimaliza maji ya wiping au mfumo wa AC na heating haufanyi kazi.
Gari lolote lenye air conditioning na heater linauwezo wa kuondoa ukungu lenyewe bila kumtaka dereva kushuka na kufanya hivyo, labda kama hiyo system imekufa.
Sasa unafanyaje kuondoa ukungu? washa AC, bonyeza button ya windscreen yenye mishale kuashiria uelekeo wa upepo, halafu zungusha nob au set heater mpaka mwisho, then matokeo yake lazima yakupe raha. Ila ukungu ukiisha, rudisha kwenye normal- AC.
Kushukashuka hasa alfajiri ni risk kwani waweza kuvamiwa, na usipotoa huo ukungu ni kukaribisha ajali.
Kwa hiyo heater utumika kwenye climate na weather yetu pia.
 
Leo Kwa mara ya Kwanza baada ya miaka mingi nimeshuhudia ukungu dar es salaam....
Ndio maana Madereva wengi walikuwa hawajui wafanye nini ili kuondoa ukungu Kwenye kioo zaidi ya kupiga wipers bila ya kuwasha AC
 
Leo alfajiri wakati natoka kwangu kuelekea kibaruani niliona Benz aina ya saloon lime-park pembeni huku dereva akifuta ukungu uliokuwepo kwenye windscreen. Yawezekana aliamua kufanya hivyo kwa sababu alimaliza maji ya wiping au mfumo wa AC na heating haufanyi kazi.
Gari lolote lenye air conditioning na heater linauwezo wa kuondoa ukungu lenyewe bila kumtaka dereva kushuka na kufanya hivyo, labda kama hiyo system imekufa.
Sasa unafanyaje kuondoa ukungu? washa AC, bonyeza button ya windscreen yenye mishale kuashiria uelekeo wa upepo, halafu zungusha nob au set heater mpaka mwisho, then matokeo yake lazima yakupe raha. Ila ukungu ukiisha, rudisha kwenye normal- AC.
Kushukashuka hasa alfajiri ni risk kwani waweza kuvamiwa, na usipotoa huo ukungu ni kukaribisha ajali.
Kwa hiyo heater utumika kwenye climate na weather yetu pia.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji108][emoji108][emoji108][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
 
Na mie nimemwongezea nauli konda kwa kweka ac, haha kumbe ukungu
 
Back
Top Bottom