Je, utawala wa IST unafika Kikomo?

BMW ipi hio unaiongelea?
 
Natumia land Rover 111 namba Ç wajeda waliniuzia lak saba tu likiwa na mashine kinanda mchawi ilikua suspension system tu ambapo wale wajeda niliwapoza 1m wakanifungia mabush,shockup,coil spring na matair vyote hivyo waliniwekea vipyaaaaaaa


Kwa vile lilikuwa na mabakamabaka ya kijeda nikalazimika kubadil rangi na sikuleta ubahili nikatoa lak tat unusu chombo kikatoka kipyaaaaaaaaaa


Chombo ya dizel nikiweka wese la 30k nazurura wiki nzima bila kukata tena mizururo ya kibabe
 
Hivi ukinunua gari kama hivi unatakiwa ikaifanyie usajili upya siyo. Maana naona umebadili hadi rangi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…