nipate feed back,communication needs to be effective.sijanuunua komputa yangu.nipo cafe
thibitisha kwa theory
yap, nadhani tutoe hoja siyo bishi, mbona mada iko wazi. Mimi nadhani inakidhi hitajiToa hoja so kuleta ubishi
Ndugu yangu, unajua safari hii body wamezingatia uwezo na vipaumbele, kama unasomea ualimu, sayanzi ya kilimo, udaktari lazima utapata mkopo, ila sasa kama takwimu zako zinaonesha umesoma shule za hela kuanzia chekechea hadi kidato cha sita maanake una uwezo wa kujilipia chuo. mimi nadhani is a good Idea.Watu hatujapata mikopo huku afu we unafanya masiara
Ndugu yangu, unajua safari hii body wamezingatia uwezo na vipaumbele, kama unasomea ualimu, sayanzi ya kilimo, udaktari lazima utapata mkopo, ila sasa kama takwimu zako zinaonesha umesoma shule za hela kuanzia chekechea hadi kidato cha sita maanake una uwezo wa kujilipia chuo. mimi nadhani is a good Idea.