Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,874
- 316
Nimekuwa nikiangalia post mbalimbali hapa jamvini, na nimegundua kuna lugha inayotumika ambayo kwangu binafsi ningehisi inadhalilisha wanawake. Lugha hii inalenga hasa tendo la ndoa. Kwa mfano, utakuta mtu anatumia maneno kama:
Kumtenda, kumfanyizia, kumshughulikia, kumbamiza, kum-do, kum-mega, nk,nk
Sasa wandugu nashindwa kuelewa, maana katika post hizi utakuta kuna wanawake wanachangia kwa hali na mali. Je ni kuwa hawaoni hiyo lunga ya udhalilishaji, au ni mazoea, au ni kuwa wamekubaliana na hali halisa ya mfumo dume?
Kumtenda, kumfanyizia, kumshughulikia, kumbamiza, kum-do, kum-mega, nk,nk
Sasa wandugu nashindwa kuelewa, maana katika post hizi utakuta kuna wanawake wanachangia kwa hali na mali. Je ni kuwa hawaoni hiyo lunga ya udhalilishaji, au ni mazoea, au ni kuwa wamekubaliana na hali halisa ya mfumo dume?