Hata mimi nimekuwa napata shida sana kuelewa haya maneno.Na siyo haya tu...yapo mengi na hayana mantiki yoyote! Ukijaribu kuangalia kitendo chenyewe.. sijui!
Ila ukishindana sana na hii misamiati..japo ya udhalilishaji..utajistukia unagombana na watu...watu wameshajiwekea utamaduni wa kutusi hilo tendo tena kwa kuwalenga wanawake..cha kufanya ni kuwarekebisha pole pole kwa upole... bila kuwatukana au kuwajia kwa jazba!