Je, Utumishi Wanaenda Kinyume na Maagizo ya Waziri Wa Elimu na Rais Kwenye Suala la Ajira za Ualimu?

Je, Utumishi Wanaenda Kinyume na Maagizo ya Waziri Wa Elimu na Rais Kwenye Suala la Ajira za Ualimu?

Impactinglife

Member
Joined
Apr 15, 2019
Posts
41
Reaction score
99
Wakuu Habari!

Naomba nisiwachoshe niende kwenye MAADA moja Kwa moja. Leo Utumishi Kupitia kurasa zao za kijamii wametoa Tarehe za usaili Kwajili ya waalimu. Chakushangaza ni kama wanaenda kinyume na maono na maagizo ya waziri wa Elimu Prof. Adolf mkenda.

Waziri Kwa kutumia AKILI Zake kubwa alitaka waalimu wote wapimwe Kwa mitihani maalumu na baadaye mahojiano (oral interview) kabla ya kupata nafasi za kuajiriwa Lakini leo Utumishi wametoa kada za ualimu na baadhi ya masomo hayana mtihani wa mchujo kama waziri alivyotaka.

Natambua uhaba wa waalimu Lakini uhaba huo kama kweli lengo la serikali lilikuwa ku recruit walimu Bora kwanini baadhi ya masomo hayana mtihani wa mchujo. Hii double standard ya Utumishi inapaswa kujadiliwa.

FB_IMG_1735731328198.jpg
 
MDAs & LGAs Mungu awalaani mmoja baada ya mwingine mlaaniwe wote
 
Dah! Wahitimu na wazazi/walezi wao wataenda kuumia muda si mrefu kwa kugharamia nauli na fedha za matumizi! Halafu mwisho wa siku watachaguliwa waombaji wachache tu!!
 
Usikurupuke soma vizuri .... Matumizi ya pombe za bure ni mabaya Kwa Vijana wengi...... Soma iyo post vizuri
Lakini wote wanafanya interview sema wengine wanafanya oral na wengine waanzia written haimaanishi kutokufanya written na kufanya oral basi ndio umepata kazi
 
Dah! Wahitimu na wazazi/walezi wao wataenda kuumia muda si mrefu kwa kugharamia nauli na fedha za matumizi! Halafu mwisho wa siku watachaguliwa waombaji wachache tu!!
Wanafanyia interview kwenye mikoa waliopo.. haijalishi aliombea wapi. Hayo ndo maelekezo
 
Wakuu Habari!

Naomba nisiwachoshe niende kwenye MAADA moja Kwa moja. Leo Utumishi Kupitia kurasa zao za kijamii wametoa Tarehe za usaili Kwajili ya waalimu. Chakushangaza ni kama wanaenda kinyume na maono na maagizo ya waziri wa Elimu Prof. Adolf mkenda.

Waziri Kwa kutumia AKILI Zake kubwa alitaka waalimu wote wapimwe Kwa mitihani maalumu na baadaye mahojiano (oral interview) kabla ya kupata nafasi za kuajiriwa Lakini leo Utumishi wametoa kada za ualimu na baadhi ya masomo hayana mtihani wa mchujo kama waziri alivyotaka.

Natambua uhaba wa waalimu Lakini uhaba huo kama kweli lengo la serikali lilikuwa ku recruit walimu Bora kwanini baadhi ya masomo hayana mtihani wa mchujo. Hii double standard ya Utumishi inapaswa kujadiliwa.

View attachment 3190062
Kwenye hili jedwali, masomo yote yamepangiwa siku ya usaili.
Au kuna jedwali lingine hujaliweka?
 
Masomo yapi hayana mchujo?.....matumizi ya pombe za bure ni mabaya kwa vijana wengi
 
Wakuu Habari!

Naomba nisiwachoshe niende kwenye MAADA moja Kwa moja. Leo Utumishi Kupitia kurasa zao za kijamii wametoa Tarehe za usaili Kwajili ya waalimu. Chakushangaza ni kama wanaenda kinyume na maono na maagizo ya waziri wa Elimu Prof. Adolf mkenda.

Waziri Kwa kutumia AKILI Zake kubwa alitaka waalimu wote wapimwe Kwa mitihani maalumu na baadaye mahojiano (oral interview) kabla ya kupata nafasi za kuajiriwa Lakini leo Utumishi wametoa kada za ualimu na baadhi ya masomo hayana mtihani wa mchujo kama waziri alivyotaka.

Natambua uhaba wa waalimu Lakini uhaba huo kama kweli lengo la serikali lilikuwa ku recruit walimu Bora kwanini baadhi ya masomo hayana mtihani wa mchujo. Hii double standard ya Utumishi inapaswa kujadiliwa.

View attachment 3190062

Pole sana!

Nafikiri kuna vigezo wanavyotumia kuondoa mchujo. Mfano kuna masomo ambayo pengine walimu wake walioomba au idadi yao hapa nchini ni wachache mf Fizikia, Hisabati nk ukilinganisha na masomo mengine ambayo walimu wake walioomba ni wengi sana hivyo kuhitaji mchujo ili kupata idadi wanayoitaka.

Mungu awatangulie ktk usaili wenu.

Kila la kheri.
 
Pole sana!

Nafikiri kuna vigezo wanavyotumia kuondoa mchujo. Mfano kuna masomo ambayo pengine walimu wake walioomba au idadi yao hapa nchini ni wachache mf Fizikia, Hisabati nk ukilinganisha na masomo mengine ambayo walimu wake walioomba ni wengi sana hivyo kuhitaji mchujo ili kupata idadi wanayoitaka.

Mungu awatangulie ktk usaili wenu.

Kila la kheri.
Issue ni quality ya walimu au ilimradi kujaza nafasi
 
Issue ni quality ya walimu au ilimradi kujaza nafasi


Cha kwanza quality, halafu idadi kwani hawawezi wakawaajiri walimu wote nchini, huo ni ukweli.

Pia kuandaa na kufanya usaili huhitaji pesa, kwa hiyo pengine kuondoa mchujo kwa baadhi ya walimu (ambao pengine ni wachache) husaidia kupunguza hizo gharama.

Kila la kheri mkuu.
 
Back
Top Bottom