mkuu hakuna biashara hisiyolipa, ilimradi iitwe biashara na ifanyike kwa kuleta faida
ni mipango mizuri ya usimamiaji
kuna watu leo ukiwaeleza kuhusu biashara ya bodaboda, wanaiogopa kama njaa!
ila kuna wengine ndo kwanza kila leo wanawaza na wanazidi kuwekeza huko!!