Haya ni matokeo ya kuiga sera za magharibi ili hali hazifit katika mazingira yetu. Ukiangalia kwa makini waalim wa sasa tunakoma huko mashuleni jamani lol! nidham ni mbaya sana maadili hakuna na kama sisi wengine hatuhitaj hata kuuliza unampotezea kama kawa ishu ni kwa wazazi wake na yy mwenyewe. Ukijaribu kufanya upembuzi yakinifu utagundua kuwa kama watanzania wa leo tungelelewa kama enzi zile ni wazi kuwa watot wa leo wangekuwa na nidham siyo tu ya maisha bali pia na ya kazi. sasa wazungu walipoona haya waliamua kutuletea haya wanayoita haki za binadam na sisi tuka adopt pasi kutafakar mazingira, nia yao has ilikuwa kupunguza responsible citizens, na kilichofanyika kibaya zaid wakaleta michezo kama pool table ikaenezwa kila mahali kwenye vijiwe so ikazidi zaid kudidimiza nafasi ya kumrekebisha mtoto.
leo hii huwez kuamin wanafunzi hatuwachapi, na hata huko shulen what teacher cares is kuingia darasan, kufundisha na kutimiza wajibu wake mwingine. swala la mwanafunzi kaandika notsi, au kafanya tests, kaigia darasani siyo kazi ya mwalim kujua. manake ukimfualtilia pasi adhabu hakuelewi. mavuno yake ni haya ya watoto wasio na maadili. Halafu wafalsafa waliotangulia walisema " Behaviour change is the product of learning process, and this bahaviour should be in a positive way" and this positive way is pronounced as ethics" .
sasa pia you can not attain behaviour change if you can not reinforce and motivate. Reinforcement is either +ve or -Ve. if it is -ve it means you induce something bitter forthe sake of attaining positive behaviour change. +ve reinforcement you remove something good from the said victim for the sake of attaining behaviour change. ukiangalia sasa utajua vitu ambavyo ni bitter ni pamoja na viboko na adhabu nyingine sasa najiuliza hivi watoto wa siku hizi ambao hawapati hivi vitu unategemea nini? Eti tumeshikilia tu motivational theory which yes it works but it has to go together with reinforcement kwani watoto wanatofautiana sana. ok tuangalie tuone