Kommando muuza madafu
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 3,216
- 7,254
Nimeiona hii video mtandaoni. Je ni kweli huyu jamaa aliyasema haya ya Simba kutokuja uwanjani kabla ya Jana au wameirekodi jana na kuifanya ionekane ya zamani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaaaaa wanalalamika mbele.Na nyie yanga hawa jamaa mliwatisha mno mara mnawapiga kwa mara ya tano mfulilizo, mara mnawapiga nane kavu
Hange kama ungekuwa wewe ungeleta team kweli uwanjani?
Kwa hii video na kama ni kweli, yanga wanastaili wapewe point tatu zao na viongozi wa bodi wawajibike na simba ipewe adhabu kali kwa huu uhuniNimeiona hii video mtandaoni. Je ni kweli huyu jamaa aliyasema haya ya Simba kutokuja uwanjani kabla ya Jana au wameirekodi jana na kuifanya ionekane ya zamani?
View attachment 3264398
Hata mimi nisingeleta timu kabisa.Na nyie yanga hawa jamaa mliwatisha mno mara mnawapiga kwa mara ya tano mfulilizo, mara mnawapiga nane kavu
Hata kama ungekuwa wewe ungeleta team kweli uwanjani?
Wakala kona.Hata mimi nisingeleta timu kabisa.
Nani anapenda aibu.
Watu walipeleka timu tangu usiku hukuona geti lilizuiwa😆😆😆😆Na nyie yanga hawa jamaa mliwatisha mno mara mnawapiga kwa mara ya tano mfulilizo, mara mnawapiga nane kavu
Hata kama ungekuwa wewe ungeleta team kweli uwanjani?
Kwani geti huwa linakuwa wazi wakati wote?Watu walipeleka timu tangu usiku hukuona geti lilizuiwa😆😆😆😆
Kwahiyo mnalipa kisasi?Hata yanga waliwahi kutukimbia[emoji1787]
NdioKwahiyo mnalipa kisasi?
Vipi Yanga nao wakilipiza Tena? maana ubaya ubweraNdio
Linakuwa na mlinzi wa kulifungua na kulifunga.Kwani geti huwa linakuwa wazi wakati wote?