Je, vifaa vya utawala wa Trump ni “Ubaguzi” na “Kuwajibisha pande nyingine”?

Je, vifaa vya utawala wa Trump ni “Ubaguzi” na “Kuwajibisha pande nyingine”?

ldleo

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2010
Posts
1,116
Reaction score
1,121
1592960913124.png

Rais Donald Trump ametoa tena hoja ya ubaguzi ambayo imeleta ufuatiliaji wa vyombo vya habari. Katika mkutano mkuu wa kampeni uliofanyika jimboni Oklahoma, rais Trump ameipatia virusi vya Corona jina la ubaguzi “Kong Flu”, ambalo limeleta swali kwamba je, vifaa vya utawala wa Trump ni “Ubaguzi” na “Kuwajibisha pande nyingine”?

Wakati mlipuko wa virusi vya Corona ukitokea nchini Marekani, rais Trump aliiita virusi hivyo kuwa virusi vya kichina ambaye alilaumiwa na kukosolewa na watu wa ndani na jumuiya ya kimataifa. Kutokana na shinikizo la ndani na nje, rais Trump amerudishia maneno yake. Lakini jina la “Kong Flu” limethibitisha kwamba kati ya kukabiliana na hali ya maambukizi na kuvutia kura nyingi zaidi, amechagua kura.

Rais huyo utovaa barakoa wakati wa kutoa hotuba, wafanyakazi sita wa timu yake ya kampeni kuthibitishwa kuambukizwa virusi vya Corona, kutowalazimisha washiriki wa mkutano huo kuvaa barakoa, kuamuru kupunguza kasi ya upimaji…… Rais Trump amejaribu kwa mara nyingi kupuuza ubaya wa hali ya maambukizi nchini humo. Hoja zake za ubaguzi zimejaribu kuhamisha ufuatiliaji wa umma na kuficha uwezo duni wa kukabiliana na maambukizi.

Rais Trump anataka kuwaambia umma kwamba virusi hivyo havitishii kabisa, Marekani bado ni nchi yenye nguvu kubwa zaidi duniani. Lakini ukweli ni kwamba kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na chuo kikuu cha Johns Hopkins cha Mareknia hadi jana idadi ya vifo nchini Marekani imezidi milioni 2.2, huku idadi ya vifo ikikaribia laki 1.2. Idadi hizo mbili zote ni kubwa zaidi duniani. Na gharama kubwa za kushangaza za matibabu na upimaji nchini Marekani pia zimeendelea kuwekwa kwenye mitandao ya kijamii, ambazo zimeonesha raia wa kawaida wa Marekani hawana machaguo mengi isipokuwa kukaa nyumbani tu.
1592960939367.png

1592960959251.png
 
Chamsingi unachokimaanisha sikioni...... ubaguzi gani upo hapo? ni nani asiyejua kuwa COVID19 imeanzia WUHAN CHINA? hata kama vingeitwa vurus vya china naona inhekuwa sawa tu maana vimeanzia china na hilo halina ubishi hata kidogo, watu lazima wawe huru na maisha yao na huwezi walazimisha kuvaa matambaa puani kila siku, hata barakoa zenyewe kama kuvaa duniani watu wamevaa sana lakini bado wanaambukizwa sasa hapo kuna haja gani?? mtoa uzi mbona hupingi WANAKANDANDA kuwa mbona hawavai barakoa uwanjani? anachikifanya TRUMP anawaondoa hofu wananchi wake kama magufuli alivyotutoa hofu sisi! hata hivyo mbona kuna wagonjwa wamepona wengi sana USA JE nalo hili hilioni?? ugonjwa huu ichukuliwe ni ugonjwa wa kawaida tu kama magonjwa mengine , sasa wewe unataka Trump awatishetishe wananchi wake wavae marakoo mpaka lini?? corona imeanza kuisha duniani! halafu usichokijua bwana mdogo, ni kwamba marekani kuna uchaguzi hivyo decratic wanapinga kila kitu kiwe kizuri afanyacho mr.trump sababu nao wanataka kushika dola, hili ni kubwa sana kwa wewe kulijua!
 
Chamsingi unachokimaanisha sikioni...... ubaguzi gani upo hapo? ni nani asiyejua kuwa COVID19 imeanzia WUHAN CHINA? hata kama vingeitwa vurus vya china naona inhekuwa sawa tu maana vimeanzia china na hilo halina ubishi hata kidogo, watu lazima wawe huru na maisha yao na huwezi walazimisha kuvaa matambaa puani kila siku, hata barakoa zenyewe kama kuvaa duniani watu wamevaa sana lakini bado wanaambukizwa sasa hapo kuna haja gani?? mtoa uzi mbona hupingi WANAKANDANDA kuwa mbona hawavai barakoa uwanjani? anachikifanya TRUMP anawaondoa hofu wananchi wake kama magufuli alivyotutoa hofu sisi! hata hivyo mbona kuna wagonjwa wamepona wengi sana USA JE nalo hili hilioni?? ugonjwa huu ichukuliwe ni ugonjwa wa kawaida tu kama magonjwa mengine , sasa wewe unataka Trump awatishetishe wananchi wake wavae marakoo mpaka lini?? corona imeanza kuisha duniani! halafu usichokijua bwana mdogo, ni kwamba marekani kuna uchaguzi hivyo decratic wanapinga kila kitu kiwe kizuri afanyacho mr.trump sababu nao wanataka kushika dola, hili ni kubwa sana kwa wewe kulijua!
Kama virusi vya Corona ni ugonjwa wa kawaida, kwa nini dunia nzima inaathiriwa vibaya? Unajua Marekani imetoa takwimu bandia kuhusu matokeo ya upimaji? Twakimu zilizotolewa bado ni ndogo kwa kulinganishwa na idadi halisi za wagonjwa wa vifo. Kuna tofauti kati ya ujinga na bila woga. Kama hauwaamini wanasiasa, soma habari zaidi za sayansi na teknolojia! Kuvaa barakoa si njia ya kutokomeza virusi, bali ni njia ya kujikinga. Kufuatia mantiki yako, kama hatufanyi upimaji wowote, hakutakuwa na wagonjwa wowote wa virusi hivyo? Tukubaliane kwamba uchumi wa dunia umedidimia, sote tumeathiriwa.
 
Tulishawapa pole wamarekani weusi na wengineo wenye ubinadamu, Huyu bwana anaiharibu nchi kama kampuni zake, kwanza hata wenyewe wanahisi hata akishindwa uchaguzi atakataa kutoka madarakani, wamejiandaa na kusema watambeba msobe msobe mpaka kwake pale "Trump Tower",,,
 
Tulishawapa pole wamarekani weusi na wengineo wenye ubinadamu, Huyu bwana anaiharibu nchi kama kampuni zake, kwanza hata wenyewe wanahisi hata akishindwa uchaguzi atakataa kutoka madarakani, wamejiandaa na kusema watambeba msobe msobe mpaka kwake pale "Trump Tower",,,
Endelea kulala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama virusi vya Corona ni ugonjwa wa kawaida, kwa nini dunia nzima inaathiriwa vibaya? Unajua Marekani imetoa takwimu bandia kuhusu matokeo ya upimaji? Twakimu zilizotolewa bado ni ndogo kwa kulinganishwa na idadi halisi za wagonjwa wa vifo. Kuna tofauti kati ya ujinga na bila woga. Kama hauwaamini wanasiasa, soma habari zaidi za sayansi na teknolojia! Kuvaa barakoa si njia ya kutokomeza virusi, bali ni njia ya kujikinga. Kufuatia mantiki yako, kama hatufanyi upimaji wowote, hakutakuwa na wagonjwa wowote wa virusi hivyo? Tukubaliane kwamba uchumi wa dunia umedidimia, sote tumeathiriwa.
huna hoja naona unarukaruka tu! huu ni ugonjwa ambao umekuja ghafla sana na kuanza kupotea, sasa point yako ni nn?? hooo wanasayansi wametoa takwimu za ukweli gani? unajua ni wangapi wanaumwa ukimwi, mbona hizi takwimu umezifatilia?? je hapa duniani hakuna mahonjwa hatarishi kuliko corona? be smart bwana mdogo!!
 
Back
Top Bottom