Je, vijana wa miaka 18 - 29 wanaweza kuugua ugonjwa vidonda vya tumbo?

Je, vijana wa miaka 18 - 29 wanaweza kuugua ugonjwa vidonda vya tumbo?

Mtu yoyote anaweza kuugua vidonda vya tumbo. Ni ugonjwa ambao hauchagui umri
 
Jamani nataka kujua, hakuna vijana under 30 mpaka 18 ambao wanaweza kuumwa ugonjwa wa vidonda vya tumbo?
Angalieni hivo vinavoitwa vidonda vya tumbo,nina ndugu yangu alikuwa anaambiwa anavo akatumia dawa kwa zaidi ya miaka 15,alipata bahati akatoka bongo na kwenda kwa wenye akili siku moja vilimzidia ilibidi aende hospitali walimpa dawa tangu siku hiyo hajaumwa tena, cha kushangaza walimwambia hana vidonda vya tumbo.
 
Inawezekana sana na ni wengi sana miaka hii sababu ya lishe za hovyo. Na wengine wanapata below that age. Kuna hata wavulana na wasichana wa miaka 13,14,15 hadi 16 ambao wanapatwa na haya majanga ya vidonda.
 
Jamani nataka kujua, hakuna vijana under 30 mpaka 18 ambao wanaweza kuumwa ugonjwa wa vidonda vya tumbo?
Kuna mtoto ana miaka 8 mwaka jana aligundulika na vidonda vya tumbo
 
mwanangu ana miaka 13 anavyoo
Inawezekana sana na ni wengi sana miaka hii sababu ya lishe za hovyo. Na wengine wanapata below that age. Kuna hata wavulana na wasichana wa miaka 13,14,15 hadi 16 ambao wanapatwa na haya majanga ya vidonda.
 
Mfumo wa maisha ndio changamoto miaka ya 2000s kurudi nyuma ilikuwa nadra kijana below 30 kuwa na madonda tumbo
 
Ni ujinga tu

Ujinga ujinga tu

Uwe na miaka sifuri, uwe na miaka mia swali ni je?. Unaruhusu mwili kupona vidonda. Vitamins, madini, protini na jeee? Unapumzika?
 
Back
Top Bottom