Je, vilainishi gani ni sahihi wakati wa ngono?

ngono au kufanya mapenzi...!!?
ngono hata Mungu hapendi.
 
Hii ndio shida ya kubaka wanawake.Unataka kilainishi gani zaidi wakati vilainishi vyote anavyo toka ndani.wewe mwandae tu mshike shike maji yatatoka mpaka laini.haya mambo ya kutiana nyege asubuhi hii mimi sielezei zaidi he he
Jamaa kauliza swali zuri...na bi bora ajibiwe kiufasaha kwa mtu anaejua. Maana nikweli unaweza ukamuandaa mwanamke akatoa huo ute mwenyewe..japo sometime is game goes on ute unakata wanakuwaga wakavu kabisa.
 
Hahahaha Basi sawa , mpaka unamaliza namm nitakua nmeshamaliza kunywa Maji !!!. Ongeza Siku mkuuuu Bwana Lee!!.
Mimi sina cha kuongeza zaidi ya kushukuru ..
Kumbe na avatar yako unaitendea haki
 
Aisee, [emoji3]
 
Vilainishi vya nini mbona mwanamke ukimwandaa vizuri ni zaidi ya ky?
Au mwenzetu mtumiaji wa tigo?
Acha ushamba,wapo wanawake ambao hawana ile mucus...acha ubishi dogo.tembea uone..hadi wao wanajijua mwamba wana tatizo hilo
 
Mkuu kuna wanawake hawana hiyo kitu..wameumbwa na tatzi la kukosa ule uteute ,,yaani ni dosari aliyoumbwa nayo..acha ubishi mkuu
 
Kama Wewe ni Team Behind Direction changanya mafuta ya Mgando haya haya ya Kawaida na Sabuni yoyote ila isiwe Medicated halafu weka / pakaa utaona burudani, raha na utamu wake. Hiyo haina ' Kipingamizi ' Mkuu ngoma moja kwa moja ' Kunako '.
Genta wewe, Mungu anakuona aisee
 

[emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…