Je, vilainishi gani ni sahihi wakati wa ngono?

Tatizo la jf kila mtu anajifanya mjuaji na mtaalamu,,poa mkuu ila usipende ubishi
Duuuhhhh mkuu au unahisi naongea ili mradi!!!.

uke Wa mwanamke duniani popote unapoenda nilazima uwe na uwezo wakuloana.

UKIONA UKE NI MKAVU UJUE HUYO MWANAMKE ANA KIWANGO KIDOGO CHA ESTROGEN HORMONE AMBACHO HUSABABISHWA NA SABABU MBALI MBALI ..

Kwann lazima uloane ???.

Kuta zauke zimekua layered na stratified squamous epithelial cell ambazo kazi kubwa ni kutoa mucus ( hayo Maji) kufanya kumaa muda wote iwe naunyevu km ilivyo mate mdomon na pia Maji yenyewe yana Acid kwaajili ya kuzuia bacteria na kukua kwa yeast .

Sasa ukumbuke hii layer ina free nerve endings nyingi kadiri unavyomsisimua ndivo ambavyo kumaa inazalisha mucus ( Maji like). Nandivyo ambavyo uke unaloana.


NARUDI TENA KUSEMA ,,,KAMA UMEKUTANA NAMWANAMKE WAHIVYO MSHAURI AENDE KUONANA NA WATAALAM WA MASUALA YA UZAZI .
 
Jamaa kauliza swali zuri...na ni bora ajibiwe kiufasaha kwa mtu anaejua. Maana nikweli unaweza ukamuandaa mwanamke akatoa huo ute mwenyewe..japo sometime is game goes on ute unakata wanakuwaga wakavu kabisa.
1. Ahsante kwa hekima yako.
2. Nimeuliza kwa nia njema, na wenye akili wanaojua mabaduliko ya wanawake siku kwa siku wanakubaliana na mimi.
3. Wachangiaji wengi wanaleta masihara, na dhana za sodoma. Nimewasamehe!
 
We mkuu ni balaa aseee si kwa uandishi huo
 
1. Mbona maduka kadhaa niliyoulizia wameniambia haipo.
Bado ipo.

Sijui upo mkoa gani ila kama upo Dar kuna hizi pharmacy zipo karibu na hospitali ya mwananyamala, zote zina KY

Bei 6500
 
1. Mbona maduka kadhaa niliyoulizia wameniambia haipo.
Bado ipo.

Sijui upo mkoa gani ila kama upo Dar kuna hizi pharmacy zipo karibu na hospitali ya mwananyamala, zote zina KY

Bei 6500[/QUOTE]
Thanks!!! Be blessed!
 
Aloooh..shikamoo Mwl ![emoji120]
 
Bado ipo.

Sijui upo mkoa gani ila kama upo Dar kuna hizi pharmacy zipo karibu na hospitali ya mwananyamala, zote zina KY

Bei 6500
Thanks!!! Be blessed![/QUOTE]
6500,,, unaweza tumia kwa mechi ngapi?!!
 
Mmmh we mtu wewe
 
Kumbe kunakuwaga na vilainishi(femo),(sexual apparatus)[emoji15] [emoji15] [emoji15].
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji2] [emoji3] [emoji2] [emoji3] ...kama hakijavimba bas keshakojoa
 
Mmh wewe kaka hatare, hadi nimeloa chapachapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…