Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
African hellow
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo juu
Unazani hapa Tanzania ni mkoa gani ungekuwa kifua mbele sana kupigania nchi na mkoa gani ungekuwa nyuma
Mimi naona Dar es salaam tungekuwa mkoa wa kwaza kabisa kupambana na uganda tena na mguu wa kuku
Uku mwaza na mara wakija nyuma yetu kwa ngumi mkononi
Wamasai na mapanga
Wangoni tunajua ni waoga na wahehe pamoja na wabena ni waoga hawa wangekimbia
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo juu
Unazani hapa Tanzania ni mkoa gani ungekuwa kifua mbele sana kupigania nchi na mkoa gani ungekuwa nyuma
Mimi naona Dar es salaam tungekuwa mkoa wa kwaza kabisa kupambana na uganda tena na mguu wa kuku
Uku mwaza na mara wakija nyuma yetu kwa ngumi mkononi
Wamasai na mapanga
Wangoni tunajua ni waoga na wahehe pamoja na wabena ni waoga hawa wangekimbia