Wewe ni kichaa kabisa. Period.JEE BIBLIA NA QURAN VINAJITAMBUA KUWA NI VITABU VYA MUNGU?
Hili suali ninawauliza Wakristo na Waislam.
✓Je, Quran kama Quran yenyewe inajitambua kuwa ni Kuraan na jee inajitambua kuwa ni kitabu cha Mungu - Waislam naomba jibu la Quran yenu kwa kunukuu mistari ya Quran.
✓ Je, Biblia kama Biblia yenyewe inajitambua kuwa ni Biblia na jee inajitambua kuwa ni kitabu cha Mungu - Wakristo naomba jibu la Biblia yenu kwa kunukuu mistari ya Biblia.
Najua utamuona hivo, maana huna majibu, hayo ndio majibu yenyewe unatoaWewe ni kichaa kabisa. Period.
Ni wewe wasema, Kwa chuki zako za kijingaQruani si neno la Mungu ni neno la waarabu na Mungu wao Allah
Kwanza kabisa, thibitisha Mungu yupo kweli.JEE BIBLIA NA QURAN VINAJITAMBUA KUWA NI VITABU VYA MUNGU?
Hili suali ninawauliza Wakristo na Waislam.
✓Je, Quran kama Quran yenyewe inajitambua kuwa ni Kuraan na jee inajitambua kuwa ni kitabu cha Mungu - Waislam naomba jibu la Quran yenu kwa kunukuu mistari ya Quran.
✓ Je, Biblia kama Biblia yenyewe inajitambua kuwa ni Biblia na jee inajitambua kuwa ni kitabu cha Mungu - Wakristo naomba jibu la Biblia yenu kwa kunukuu mistari ya Biblia.