Matojo Cosatta
JF-Expert Member
- Jul 28, 2017
- 234
- 390
- Thread starter
-
- #21
Lakini siyo lazima kukilipia kurasimisha shuguli za wamachinga hakuhitaji kuwepo kwa tozo sheria ingeweza kutungwa na vitambulisho wakapewa na kutambuliwa bila kutakiwa kulipia elfu 20
Majibu utakayoyapata kwa swali hili utatamani uhoji zaidi...Magu hajui mambo haya?
Kwa taarifa yako huyo unaejifanya kumtetea Hana mshauri yeye ndo kila kitu pale gogoni.Rais sio Mwanasheria, hivyo, lawama zinapashwa kwenda kwa washauri wa Rais maswala ya sheria.
Mshauri wa Rais Maswala ya sheria katika Serikali na katika CCM na Mshauri Mkuu wa Serikali Maswala ya Sheria (Mwanasheria Mkuu wa Serikali) watakuwa wameshindwa kutimiza wajibu wao ipasavyo wa kumshauri vizuri Mhe. Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa.
Wali liko hapa hizopesa elfu 20 zinaenda wapi kwanini hawapewi risti ijulikane inatoka ofisi ganiJe, kuna ubaya gani kuwatambua wamachinga na kuwafanya walipe kodi sekta isiyo rasmi ni kubwa mno hapa nchini kusababisha kupoteza mapato au wachache walio sekta iliyo rasmi kubeba mzigo. Hili lisitumike kutafutia kura wapinzani.
Kama siyo lazima mbona mkuu wa mkoa alifukuzwa kazi kisa kitambulisho vyake havitokiKama wewe ni machinga na hataki kitambulisho hulazimishwi kuwa nacho lakini usilete fujo
Kumbukizi-: aliyesema kuwa mwana sheria mkuu hana sifa amevuliwa uwakili!Rais sio Mwanasheria, hivyo, lawama zinapashwa kwenda kwa washauri wa Rais maswala ya sheria.
Mshauri wa Rais Maswala ya sheria katika Serikali na katika CCM na Mshauri Mkuu wa Serikali Maswala ya Sheria (Mwanasheria Mkuu wa Serikali) watakuwa wameshindwa kutimiza wajibu wao ipasavyo wa kumshauri vizuri Mhe. Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa.
Kwani rais wetu huwa ana tabia ya kusikiliza wanasheria? Amevurunda mangapi yaliyoainishwa kikatiba na bado hasikii wala haoni?Rais sio Mwanasheria, hivyo, lawama zinapashwa kwenda kwa washauri wa Rais maswala ya sheria.
Mshauri wa Rais Maswala ya sheria katika Serikali na katika CCM na Mshauri Mkuu wa Serikali Maswala ya Sheria (Mwanasheria Mkuu wa Serikali) watakuwa wameshindwa kutimiza wajibu wao ipasavyo wa kumshauri vizuri Mhe. Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa.
Kwahiyo kuwatambua wafanyabiashara wadogo ni kuwalipisha fedha zisizoendana na kiwango cha biashara wanazofanya? Kama suala ni kodi ni kwanini wasiweke utaratibu wa kufahamu mapato yao kulingana na mauzo ili walipe kile wanachostahili? Huu ni wizi.Je, kuna ubaya gani kuwatambua wamachinga na kuwafanya walipe kodi sekta isiyo rasmi ni kubwa mno hapa nchini kusababisha kupoteza mapato au wachache walio sekta iliyo rasmi kubeba mzigo. Hili lisitumike kutafutia kura wapinzani.
Kama wewe ni machinga na hataki kitambulisho hulazimishwi kuwa nacho lakini usilete fujo
AshalegeaJE, VITAMBULISHO VYA MACHINGA NI LAZIMA AU NI HIYARI?
Kwa tafsiri yangu ya sheria ni kuwa Vitambulisho vya Machinga ni lazima na msingi wa tafsiri yangu ni rejea za sheria zifuatazo;
(1) Kifungu cha 22 A cha Sheria ya Utawala wa Kodi, Sura ya 438 kama ambavyo imefanyiwa mabadiriko na Kifungu cha 49 cha Sheria ya Fedha, 2017 (Sheria Na. 4 ya 2017) na Kifungu cha 44 cha Sheria ya Fedha, 2019 (Sheria Na. 8 ya 2019) hususani Kifungu cha 22 A (1) na (2) Sura ya 438 kama kilivyofanyiwa mabadiriko.
(2) Kanuni ya 6 ya Kanuni za Utawala wa Kodi (Usajiri Wafanyabiashara Wadogo na Watoa Huduma Wadogo), 2020 [the Tax Administration (Registration of Small Vendors and Service Providers) Regulations, 2020] ambayo ni Tangazo la Serikali Na. 36 of 2020 hususani Kanuni ya 6 (1) na (2).
Masharti ya Kifungu cha 22 A (1) cha Sura ya 438 pamoja na Kanuni ya 5 na 6 (1) za Tangazo la Serikali Na. 36 of 2020 yanamtaka kwa lazima Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (Commissioner General of TRA) kuwatambua na kuwasajiri Wafanyabiashara Wadogo na Watoa Huduma Wadogo (wachuuzi) ambao wanafanya biashara ndogo ndogo kwenye sekta ambayo sio rasmi wakiwemo wamachinga, mama ntilie, MCs, bodaboda nakadhalika.
Mfanyabiashara mdogo na mtoa huduma mdogo akiwemo machinga akisajiriwa na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato basi ni lazima apatiwe Kitambulisho cha Biashara Ndogo Ndogo na ni lazima alipe Tshs 20, 000/= kabla ya kupatiwa Kitambulisho na haya ni matakwa ya .
Machinga akisajiriwa na Commissioner General of TRA basi ni lazima apatiwe Kitambulisho cha Biashara Ndogo Ndogo na ni lazima alipe Tshs 20, 000/= kabla ya kupatiwa Kitambulisho, na haya ni matakwa ya masharti ya Kifungu cha 22 A (2) na (3) cha Sura ya 438 pamoja na Kanuni ya 6 (2) na (5) za Tangazo la Serikali Na. 36 of 2020.
Imeandikwa na Matojo M. Cosatta.
the point is, TIN ni bure kabisa kwa nini wasingelazimishwa kuingia kwenye mfumo wa kodi kisheria na kiutaratibu wapate TIN halafu wakadiriwe hiyo elfu20 ambayo angeilipa elfu5 quarterly per year?!? nafikikiria sana hilo kama mtz
changamoto naiona hii,wakuu waliopewa jukumu la kusimamia hivi vitambulisho wanalazimisha wajasiriamali wadogo wavinunue na mbaya zaidi wamewekewa malengo hivyo machinga analazimika kuwa na elf20 cash.Je njia hii ina changamoto zote?
changamoto naiona hii,wakuu waliopewa jukumu la kusimamia hivi vitambulisho wanalazimisha wajasiriamali wadogo wavinunue na mbaya zaidi wamewekewa malengo hivyo machinga analazimika kuwa na elf20 cash.
Wakamuua kweli🤣🤣ila hizi pesa za vitambulishi vya machinga zimeenda wapi? Au chinaAcheni Mzee Apumzike
Mtamuua Kwa Pressure
JE, VITAMBULISHO VYA MACHINGA NI LAZIMA AU NI HIYARI?
Kwa tafsiri yangu ya sheria ni kuwa Vitambulisho vya Machinga ni lazima na msingi wa tafsiri yangu ni rejea za sheria zifuatazo;
(1) Kifungu cha 22 A cha Sheria ya Utawala wa Kodi, Sura ya 438 kama ambavyo imefanyiwa mabadiriko na Kifungu cha 49 cha Sheria ya Fedha, 2017 (Sheria Na. 4 ya 2017) na Kifungu cha 44 cha Sheria ya Fedha, 2019 (Sheria Na. 8 ya 2019) hususani Kifungu cha 22 A (1) na (2) Sura ya 438 kama kilivyofanyiwa mabadiriko.
(2) Kanuni ya 6 ya Kanuni za Utawala wa Kodi (Usajiri Wafanyabiashara Wadogo na Watoa Huduma Wadogo), 2020 [the Tax Administration (Registration of Small Vendors and Service Providers) Regulations, 2020] ambayo ni Tangazo la Serikali Na. 36 of 2020 hususani Kanuni ya 6 (1) na (2).
Masharti ya Kifungu cha 22 A (1) cha Sura ya 438 pamoja na Kanuni ya 5 na 6 (1) za Tangazo la Serikali Na. 36 of 2020 yanamtaka kwa lazima Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (Commissioner General of TRA) kuwatambua na kuwasajiri Wafanyabiashara Wadogo na Watoa Huduma Wadogo (wachuuzi) ambao wanafanya biashara ndogo ndogo kwenye sekta ambayo sio rasmi wakiwemo wamachinga, mama ntilie, MCs, bodaboda nakadhalika
Mfanyabiashara mdogo na mtoa huduma mdogo akiwemo machinga akisajiriwa na Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato basi ni lazima apatiwe Kitambulisho cha Biashara Ndogo Ndogo na ni lazima alipe Tshs 20, 000/= kabla ya kupatiwa Kitambulisho na haya ni matakwa ya .
Machinga akisajiriwa na Commissioner General of TRA basi ni lazima apatiwe Kitambulisho cha Biashara Ndogo Ndogo na ni lazima alipe Tshs 20, 000/= kabla ya kupatiwa Kitambulisho, na haya ni matakwa ya masharti ya Kifungu cha 22 A (2) na (3) cha Sura ya 438 pamoja na Kanuni ya 6 (2) na (5) za Tangazo la Serikali Na. 36 of 2020.
Imeandikwa na Matojo M. Cosatta.