Je, vyombo vya habari vya kimagharibi vimesusia kombe la dunia Urusi??

Yaan we mleta uzi kila kitu unataka uilaumu marekani na ulaya
Urusi ana kituo chake cha RT Unaweza fatilia acha umbumbumbu
 

Mashushushu wa marekani si ndo wamempiga zengwe Blatter mpaka wakamuondoa maana ilifika mahali Sep alilifanya kombe la dunia kuwa maarufu kuliko vita vyao wanavyovianzisha!!.. sasa wamemn'goa na kutuwekea kajitu kasikojua kuleta radha ya soka yani kapo kapo tu.. hata juzi kati hako ka rais kalikuja Tz hakuna hata aliyestuka.. kifupi US ameamua kuua soka.. na usishangae .. mashindano yakianza inaweza kutokea bonge la vita haf concentration ya media zao zikahamia kwenye kutupa updates ya vita 24/7..
 
Russia ajasusiwa mashindano. Yeye ni taifa kubwa, hivyo apambane na Hali yake. Ila wamezingua Russia hata hao waliochaguliwa kutunga nyimbo nikiashiria tosha urusi wanaharibu haya mashindano mwaka huu.
 


I don't necessarily subscribe to your thinking lakini kwa kuwa sina information siwezi pingana na wewe ila tu ninachoweza kufanya ni kukubaliana kutokukubaliana.
 
Nachoona ni kwamba Russia wenyewe hawaipi uzito kombe la dunia,nakutana na wengi wao hawana hata mzuka,hawa majamaa wapo mbali na mpira
Si kweli....unataka walipe uzito kivipi mfano?
 
Habari za asubuhi,

Kama kichwa cha habari kisemavyo,

Kiukweli kombe la dunia la mwaka huu mpaka sasa limepooza mno, namaanisha zile build ups kuelekea Urusi, road to Russia. Tofauti na miaka ya nyuma.

Ni mwezi wa nne tunakaribia hivyo ni kama miezi 2 imebaki filimbi ipulizwe ila ni kama hamna tukio kubwa mwaka huu, kimya kimetamalaki si hapa kwetu wala nje ya nchi.

Vyombo vikubwa vya habari za michezo kama ESPN, CNN, SKYSPORTS, BBC etc hawaongelei kwa uzito kama miaka ya nyuma kuhusu tukio hili.

Je sababu ni muaandaaji wa kombe hili (Urusi) kuwa na mikwaruzano ya kisiasa na wale MOUTH PIECES, wazee wa kusambaza habari (UK na USA) hivyo wamemzira afanye PR Urusi mwenyewe au ni kwamba kombe la dunia halina mzuka tena?
 
Watu wako bize na ushindani wa kwny ligi. Concentration ipo huko. Zikiisha ligi wanaanza kukinukisha. Wazungu nawakubali sn wakiamua kutangaza kitu. Hatar...!!!
Ngoja tuwasubiri, ila hata nyimbo za kombe la dunia msimu huu bado hazijaandaliwa.
 
Toka Zizu, Dinyo na Okocha wastaafu soka, World Cup imekosa maana kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…