DesertStorm
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 3,131
- 2,537
Senegal ni waziri sana, ukitoa hizi nchi za Kiarabu Nigeria, Ivory Coast na Senegal wanatutoa kimaso maso
Ivory coast hawapo.Senegal ni waziri sana, ukitoa hizi nchi za Kiarabu Nigeria, Ivory Coast na Senegal wanatutoa kimaso maso
Mwarabu sijui ana tatizo gani na mzungu, huwa hafurukuti kabisa! Yaani hapo naona afadhali Nigeria na Senegal.Kwani nchi za kiarabu hawawezi kututoa kimasomaso!! Tena ni wazuri zaidi ya hao wengine. I know hawatatuangusha
Toka Zizu, Dinyo na Okocha wastaafu soka, World Cup imekosa maana kabisa.
Hawa jamaa kuna kitu kinaniambia msimu wao ndio huu! Wako vizuri sana. Kuanzia kina Romero, Otamendi, Higuian, mpaka Messi na wameiva kiulaya zaidi.Albiceleste hapa....though nawaogopa sana Germany mashine 😛😛😛
Hawa jamaa kuna kitu kinaniambia msimu wao ndio huu! Wako vizuri sana. Kuanzia kina Romero, Otamendi, Higuian, mpaka Messi na wameiva kiulaya zaidi.
Mwarabu sijui ana tatizo gani na mzungu, huwa hafurukuti kabisa! Yaani hapo naona afadhali Nigeria na Senegal.
Dah, nilisahauje kutaja hawa watu! Kwa kweli wana kikosi, mimi nawakubali Ujerumani ila hawa jamaa naona wana nafasi kubwa sana. Na messi hii ndio chansi yake yaweza kuwa wa mwisho kujisimika rasmi kama mwanasoka bora zaidi kuwahi tokea duniani mpaka sasa.Pamoja sana mkuu.umenipa moyo kwakweli.....Dybala, Lamela, Lcardi and Aguero usiwasahau....
Mkuu Lcardi atakuwepo lakini?
Dah, nilisahauje kutaja hawa watu! Kwa kweli wana kikosi, mimi nawakubali Ujerumani ila hawa jamaa naona wana nafasi kubwa sana. Na messi hii ndio chansi yake yaweza kuwa wa mwisho kujisimika rasmi kama mwanasoka bora zaidi kuwahi tokea duniani mpaka sasa.
Wakina nani wako vizuri mkuu? Germany? Hao wachezaji uliowataja ndo watashiriki kombe la dunia kupitia taifa moja au?Hawa jamaa kuna kitu kinaniambia msimu wao ndio huu! Wako vizuri sana. Kuanzia kina Romero, Otamendi, Higuian, mpaka Messi na wameiva kiulaya zaidi.
hakuna kitu kama hicho mzee.Watu wako bize na ushindani wa kwny ligi. Concentration ipo huko. Zikiisha ligi wanaanza kukinukisha. Wazungu nawakubali sn wakiamua kutangaza kitu. Hatar...!!!
Yupo atakuwa ameshaponabila shaka, tuwahi tiketi hapa.
Chama langu Ujerumani.
Brazil Neymar hatokuwapo, kazi ipo!
Icard yupo aguero outPamoja sana mkuu.umenipa moyo kwakweli.....Dybala, Lamela, Lcardi and Aguero usiwasahau....
Mkuu Lcardi atakuwepo lakini?
Icard yupo aguero out
Icard yupo aguero out