Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,413
- 23,592
Je, tangu mwaka 2005 hadi leo kuna rekodi yoyote ya mbunge kutoka CCM kutofautiana na wenzake wakati wa upigaji kura bungeni. Kama sijakosea nafikiri kwenye kambi ya upinzani tumeshuhudia wakitofautiana kwenye mitizamo hadi kufikia upigaji kura.
Licha ya majadiliano makali ya awali kabla ya upigaji wa kura, wabunge wote wa CCM kwa pamoja ama wameishia kuunga mkono hoja kama imetoka serikalini au kupinga hoja kama imetolewa na Upinzani. Je hali hii inaashiria nini kama si uwoga na unafiki ?
Licha ya majadiliano makali ya awali kabla ya upigaji wa kura, wabunge wote wa CCM kwa pamoja ama wameishia kuunga mkono hoja kama imetoka serikalini au kupinga hoja kama imetolewa na Upinzani. Je hali hii inaashiria nini kama si uwoga na unafiki ?
Je kuwaita baadhi ya hawa Wabunge mashujaa ndani ya CCM ni sawa ?