hapa ushujaa utakuwa umepimwa kwa kigezo kimoja. hivyo ndivyo ushujaa unavyopimwa?
utamaduni wa kutounga mkono hoja jamaa wa ccm ni kama hawana. utakuta maneno mengi na pointi tupu kuonyesha mambo kutokwenda sawa halafu mwishoni mheshimiwa mbunge anasema anaunga mkono hoja kwa asilimia 100. eh! hapo kuna unafiki na uoga
kama hawawez kutoa shiling ni bora wasiwe wanaanika hizo weaknesses. wawe wanasema mazur matupu na mwishon wakiunga mkono hoja kwa 100% tutawaelewa
Swali zuri sana linaloibushwa na swali hili ni kwamba, je, wananchi wa Tanzania wanaowachagua hawa wabunge wana access ya voting records za wabunge hawa? Na kama ipo inapatikana vipi?
Zaidi ya hapo tutakuwa hatujibu swali kwa facts, ila tunatumia instincts tu.