micaely michael
Member
- Jul 31, 2015
- 85
- 9
_wengi husema kuwa kiswahili ni:
_KIBANTU
_KICONGO
_KIARABU
*KIBANTU: wengi husema kuwa chimbuko ya lugha kiswahili ni kibantu
kwa sababu maneno na misamiati yatokanayo na lugha ya kiswahili yametokana na lugha za makabila tofauti tofauti
swali: kwanini watu waishio vijijini huwa wanapata tabu sana kuijua lugha ya kiswahili na kuizungumza....
KICONGO:katika vitabu vingi vinavyo zungumzia chimbuko ya lugha ya kiswahili waandishi wamezungumza ya kuwa chimbuko ya lugha ya kiswahili imetokea congo wakidai yakuwa congo ndo walianza kuitumia lugha ya kiswahili kabla ya afrika mashariki....
swali: ebu jiulize ni taifa gani la afrika mashariki na nje ya afrika masharika linazungumza kiswahili fasaha..
KIARABU:hakuna uhakika zaidi unaothibitisha ya kuwa kiswahili ni kiarabu ila vitabu vinasema waarabu ndo watu wa kwanza kuja afrika mashariki kwa hiyo wao ndo waliileta lugha ya kiswahili ili iweze kuwasaidia katika kufanya biashara ndani ya mashariki hasa katika pwani....je! Wewe uinaifahamu vp ksw
_KIBANTU
_KICONGO
_KIARABU
*KIBANTU: wengi husema kuwa chimbuko ya lugha kiswahili ni kibantu
kwa sababu maneno na misamiati yatokanayo na lugha ya kiswahili yametokana na lugha za makabila tofauti tofauti
swali: kwanini watu waishio vijijini huwa wanapata tabu sana kuijua lugha ya kiswahili na kuizungumza....
KICONGO:katika vitabu vingi vinavyo zungumzia chimbuko ya lugha ya kiswahili waandishi wamezungumza ya kuwa chimbuko ya lugha ya kiswahili imetokea congo wakidai yakuwa congo ndo walianza kuitumia lugha ya kiswahili kabla ya afrika mashariki....
swali: ebu jiulize ni taifa gani la afrika mashariki na nje ya afrika masharika linazungumza kiswahili fasaha..
KIARABU:hakuna uhakika zaidi unaothibitisha ya kuwa kiswahili ni kiarabu ila vitabu vinasema waarabu ndo watu wa kwanza kuja afrika mashariki kwa hiyo wao ndo waliileta lugha ya kiswahili ili iweze kuwasaidia katika kufanya biashara ndani ya mashariki hasa katika pwani....je! Wewe uinaifahamu vp ksw