OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
- Thread starter
-
- #341
Waite ulamaa waje wajìbuMleta uzi mambo ya waislamu hayaamuliwi wala kujadiliwa kiholela. Lipo baraza la Ulamaa ambalo huja na majibu ya maswala kama haya.
Hivyo tuliza kalio ikifika wakati utajua.
Duh! Kwahyo alphabet zote Za kilatini tunazitumia kwenye Kiswahili? J ipo kwenye kilatini?Tunachoongolea ni alphabet ,kwamba Kiswahili hakina alphabet zake,umechukuwa alphabet za kilatini,katika aliphabet za kilatini Q ipo,utaificha vipi,hata kama huna neno lenye Q,ukiiacha alphabet huitutumii,kwa vile tumeazima.Ukiazima nguo ya mtu,na ina mkanda umeshonewa humo humo,hata kama huna kazi nao mkanda,lazima uwe nao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana we ndo hujaelewa, hatuongelei alphabet ya source tunaongelea product ya lugha husika, kwenye kiswahili tuna neno q?Tunachoongolea ni alphabet ,kwamba Kiswahili hakina alphabet zake,umechukuwa alphabet za kilatini,katika aliphabet za kilatini Q ipo,utaificha vipi,hata kama huna neno lenye Q,ukiiacha alphabet huitutumii,kwa vile tumeazima.Ukiazima nguo ya mtu,na ina mkanda umeshonewa humo humo,hata kama huna kazi nao mkanda,lazima uwe nao.
Sent using Jamii Forums mobile app
chief, ebu rudia kusoma komenti yangu vizuri then jibu nilichokuuliza.Wewe hujielewi kama huelewi,unanashindwa kuelewa Maandiko.Bilaa maandiko matakatifu,kumuandika Yesu,wewe ungemjuwa vipi Yesu?Umeamjuwa Yesu,baada ya maandiko matakatifu kumuandika Yesu kwa upana wake na kwa undani.Na hapo hapo,unaposikia mtu anasema Fulani ni Mwalimu,wakati sio mwalimu,ni kuwa matendo yake yanafanana na mwalimu lakini sio mwalimu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa mujibu wa Maandiko ya Allah,uharamu wake hauondolewi kwa sababu hiyo,uharamu upo pale pale,ila Allah hakina atukuzwe ametuelekeza wajaa wake namna ya kumtumia ktk masuala mengineAcheni sasa kumwita haramu mpeni sifa zake
Laahaulah!!,Vipi koroani imeongelea kuhusu ulaji wa nyama ya mtu?
Ipo mkuu, ila nami sijaikariri hivyo basi naomba mwenye kuifahamu aindike hapa kwa faida ya wengi.Una Aya ndani ya Qurani inayosema nyama ya Paka na Mbwa ni haramu kuliwa kama ilivyo kwa Nguruwe Kibudu ?
Ibandike hapa tujifunze.
ni gharamu kwa nyama ya mtu kuliwa na mtu lakini si gharamu kwa nyama mtu kuliwa na mnyama au wadudu.Hivi nyama ya mtu kuila kwenye Uislam Ni Haram au sio Haram?
ni gharamu kwa nyama ya mtu kuliwa na mtu lakini si gharamu kwa nyama mtu kuliwa na mnyama au wadudu.Hivi nyama ya mtu kuila kwenye Uislam Ni Haram au sio Haram?
kuhusu makatazo ya kula paka na mbwa ni mafundisho ya mtume sio ayaUna Aya ndani ya Qurani inayosema nyama ya Paka na Mbwa ni haramu kuliwa kama ilivyo kwa Nguruwe Kibudu ?
Ibandike hapa tujifunze.
Laahaulah!!,
Ni haram mkuu,
Hicho kitabu hakijaacha kitu mkuu,narudia tena,hakijaacha kitu
Maandiko yapi wewe 'scars' unayejinasibisha kila siku hapa kuwa ni atheist?Maandiko yamepiga marufuku ulaji wa nguruwe hayajapiga marufuku matumizi ya nguruwe katika tiba
Hiyo ni daawha na wote tuseme inshaallah
Kumbe hapo Quran iliacha,ikabidi mtume ndo ajitungie?kuhusu makatazo ya kula paka na mbwa ni mafundisho ya mtume sio aya
Mtume ametufundisha kua tusile wanyama ambao wanapata chakula chao kwa kutumia kucha
mfano. simba,chui,paka na mbwa na wengineo
Unatoa wapi hizi hoja kichwani au kwenye koroani?ni gharamu kwa nyama ya mtu kuliwa na mtu lakini si gharamu kwa nyama mtu kuliwa na mnyama au wadudu.
Nikikuita mjinga sijui nimekuonea kama hujui kitu ni bora kuulizaKumbe hapo Quran iliacha,ikabidi mtume ndo ajitungie?
Kwanini?ni gharamu kwa nyama ya mtu kuliwa na mtu lakini si gharamu kwa nyama mtu kuliwa na mnyama au wadudu.
Nikikuita mjinga sijui nimekuonea kama hujui kitu ni bora kuuliza
mjinga ni tusi na wwMbona ameuliza? Au hujaiona alama ya kuuliza mwishoni? Sijui kwanini waislam hamnaga hoja mnakimbilia matusi
Unkoelekea na naamini ubongo wako unatafsiri Mungu ni mwarabuHebu nitajie nabii mmoja tu alokua mswahili ?