Je, wajua au umepata kusimuliwa asili ya jina Kizimkazi? Mzee Said Ramadhan, mwanahistoria mahiri kutoka Kizimkazi, yupo hapa kukupa maana na asili ya

Je, wajua au umepata kusimuliwa asili ya jina Kizimkazi? Mzee Said Ramadhan, mwanahistoria mahiri kutoka Kizimkazi, yupo hapa kukupa maana na asili ya

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
JE, wajua au umepata kusimuliwa asili ya jina Kizimkazi? Mzee Said Ramadhan, mwanahistoria mahiri kutoka Kizimkazi, yupo hapa kukupa maana na asili ya Kizimkazi.

Kizimkazi jina linamanisha katika kujenga Msikiti walikuwepo Kiongozi wao alikuwa ni mtu anajitahdi kwa kazi wale wenyeji pale waka wanamsifu pamoja na yule mwezao kwa lugha ya kiswahili, Yule waliokuwa wakijenga majengo yule kiongozi jina lake hasa ni Kizi yani Mzee Kizi.

Sasa kwa vile alikuwa ni mtu harakati sana wa zile kazi wakatumia neno mkazi. Yani mkazi kuna maneno mawili kwa kiswahili ukiweke a kwenye mkaazi inamaana mtu wa pale lakini mkisema mkazi kwa a moja tu ni Haduhakin Hassani kwa lugha ya kigeni.

Sasa wakachanganya yale maneno mawili jina lake na kumpa sifa yake kwamba ni mtu wa harakati kwahiyo ni Kizimkazi. Sasa kwa lile eneo alikokuwepo Pwani apakuwa pakubwa sana wakatoa jina la yule Bwana ndiyo ikawa jina la Kizimkazi ni maneno mawili.





 
Halafu wenye Akili tukisema kuwa kwa sasa tuna bahati mbaya sana mnatukalia Vikao vya Kutuwahisha kwa Mungu.
Ongezea na kufatilia mambo ya wasanii na udaku udaku
Raia mazuzu wanakuambia mambo yote sahv tukutane kule
Kzmkz eti kuna happen 😄

Ova
 
Halafu bado hiyo nchi inataka kushindana na Taifa linalojitambua kama la Rwanda na Rais wake Mwerevu Paul Kagame.
Ha ha genta katika ubora wake ebu niambie ile Gold Medal walioshinda Rwanda ktk mashindano ya hisabati shule za sekondari Afrika na sisi wabongo tulishiriki nimejaribu kutafuta nimekosa nadhani utakuwa unajua ?
 
Ha ha genta katika ubora wake ebu niambie ile Gold Medal walioshinda Rwanda ktk mashindano ya hisabati shule za sekondari Afrika na sisi wabongo tulishiriki nimejaribu kutafuta nimekosa nadhani utakuwa unajua ?
Hiyo nchi labda mashindano ya kukata mauno na uchawa ndiyo
Medali zitakuja

Ova
 
KIZIMKAZI NI NINI?

MWANDISHI WA MAKALA
Comtade Ally Maftah - PACOME WA MCHONGO

AKISHIRIKIANA NA
TAE JOE NA KISSA MWAKASOPE


Kizimkazi ni tamasha la utamaduni, sanaa na uchumi linalofanyika katika mkoa wa kusini unguja - Zanzibar kwenye mji wa kitalii Kizimkazi kila mwishoni wa miezi ya agost kila mwaka,

Tamasha hili limepata mvuto mkubwa kutokana na ubunifu wa Dr Samia Suluhu Hasan kuliendesha akishirikiana na Jamii yake ambayo amekuwa akishirikiana nao kwa miaka mingi kujiletea uchumi katika mji huo wa kitalii.

Dhima ya Tamasha hilo la aina yake ni kama ifuatavyo.
1. Kuchochea uchumi katika mji wa Kizimkazi na Tanzania kwa ujumla kupitia mbinu na shughuli mbalimbali katika tamasha hilo
2. Kudumisha mila na desturi za mwafrika
3. Kudumisha amani, upendo na mashirikiano baina ya makundi mbalimbali ya kijamii
4. Kuongeza hamasa na ukuwaji wa sanaa, michezo na burudani nchini hivyo kuongeza kiwango cha furaha kwa watanzania

Kizimkazi imetuletea mafanikio makubwa katika taifa letu ikiwemo ukuaji wa mji wa kizimkazi kimaendeleo na kibiashara ikizingatiwa kwamba baada ya tamasha hilo mji wa kizimkazi umeongezewa idadi ya vivutio vya kitalii kutoka 17 hadi 19 ikiwa ni ongezeko la kivutio kama mradi wa KASA na Tamasha la Kizimkazi.

Hatuwezi kuzungumza maendeleo ya Tamasha la Kizimkazi bila kumtaja Dr Samia Suluhu Hasan. hakika ameacha alama katika nyoyo za watanzania na hasa wakazi wa Kizimkazi
 

Attachments

  • 2024-09-09-183035643.mp4
    23 MB
Back
Top Bottom