Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Dubai ni mji ambao na matatizo ya wakazi wake wengi kuwa na uzito ulipitiliza ambapo katika kukabiliana na tatizo hilo wakaja na sera ya Uzito wako katika dhahabu.
Sera ilitaka mtu apunguze uzito kuanzia Kilogram moja ndani ya siku thelathini ambapo kila anayefanikiwa anapata gram mbili za dhahabu, aidha mtu akipungua uzto zaidi ya hapo dhahabu ziliongezeka.
Lilikuwa kama shindano na halikuwa na ukomo wa uzito ambao unapaswa kupunguza. Wataalamu wa Dubai waliamini kuwa hakuna kitu kinachochoma mafuta kwa haraka kama pesa. Ndio sababu walishauri njia hiyo.
Sera hiyo ilitekelezwa kwa siku 30 kuanzia Julai 17 hadi Agosti 16 mwaka 2013 na liliwahusu wakazi wa Dubai pekee
Sera ilitaka mtu apunguze uzito kuanzia Kilogram moja ndani ya siku thelathini ambapo kila anayefanikiwa anapata gram mbili za dhahabu, aidha mtu akipungua uzto zaidi ya hapo dhahabu ziliongezeka.
Lilikuwa kama shindano na halikuwa na ukomo wa uzito ambao unapaswa kupunguza. Wataalamu wa Dubai waliamini kuwa hakuna kitu kinachochoma mafuta kwa haraka kama pesa. Ndio sababu walishauri njia hiyo.
Sera hiyo ilitekelezwa kwa siku 30 kuanzia Julai 17 hadi Agosti 16 mwaka 2013 na liliwahusu wakazi wa Dubai pekee